Sera mbadala ya elimu: Serikali anzisheni bima ya elimu

Mkuu kweli naliona tatizo kubwa la mleta mada,anaweza akawa na hoja ya msingi ila hajui namna ya kuiwasilisha!Hapa nimegundua hajui maana ya Bima,pamoja na ufafanuzi ulioutoa lakini inaonekana bado akili yake inakataa kupokea jambo jipya!
Huwezi ukawa na Bima ya elimu,ila unaweza ikawa bima ya kifo/maradhi/ajali kazini ambapo mzazi anaweza mkatia mtoto Bima ikiwa yeye atadhurika basi mtoto asomeshwe au apate fedha taslimu au vinginevyo!Bima hii inakuwa kwa mzazi na mtoto ni mnufaika!
hii tabia ya watanzania kujifanya tunajua kila kitu badala ya kujifunza kwanza inatoka wapi? dada rebbecca keleta mpaka link msome lakini hamtaki
 
Mmmnh tofauti yake ni nini?
Tofauti ni kuwa hapa mleta mada anasema uchangiaji wake uwe kama NHIF,wakati hao wanagumble!
Guardian wako anakuwa anachangia mfuko,na pesa ya mfuko haitatumika kukusomesha hadi pale ambapo guardian wako atapata matatizo kama kifo,ajali kazini NK!
So sio directly bima ya elimu,sema guarantee inawekwa kwenye elimu yako pale mlezi wako atakapopata matatizo!
Kama hatopata matatizo,then atakusomesha mwanzo mwisho!
Na hii ndio maana halisi ya Bima!
 
Tofauti ni kuwa hapa mleta mada anasema uchangiaji wake uwe kama NHIF,wakati hao wanagumble!
Guardian wako anakuwa anachangia mfuko,na pesa ya mfuko haitatumika kukusomesha hadi pale ambapo guardian wako atapata matatizo kama kifo,ajali kazini NK!
So sio directly bima ya elimu,sema guarantee inawekwa kwenye elimu yako pale mlezi wako atakapopata matatizo!
Kama hatopata matatizo,then atakusomesha mwanzo mwisho!
Na hii ndio maana halisi ya Bima!
kwa mtazamo kama huu naamini ulisindikiza wenzako shule na si kujifunza. naomba nikuulize swali, unapokatia gari yako bima unakuwa assured kwamba kutatokea tatizo?
 
kwa mtazamo kama huu naamini ulisindikiza wenzako shule na si kujifunza. naomba nikuulize swali, unapokatia gari yako bima unakuwa assured kwamba kutatokea tatizo?
Umejileta mwenyewe,unapokata Bima maana yake gari ikipata ajali utalipwa!Lisipopiga mzinga basi hela yako umetoa sadaka,na hii ndio maana halisi ya Bima!
Hapa katika magari 100,labda 1 tu ndio litapata ajali na kuharibika!Kwa maana hiyo,nyie 99 mtakuwa mmemchangia huyo mmoja na nyingine itabaki faida ya kampuni ya Bima!
Kwa mfano huo,huoni kuwa hoja yako haifeet kwenye Bima????
 
Tofauti ni kuwa hapa mleta mada anasema uchangiaji wake uwe kama NHIF,wakati hao wanagumble!
Guardian wako anakuwa anachangia mfuko,na pesa ya mfuko haitatumika kukusomesha hadi pale ambapo guardian wako atapata matatizo kama kifo,ajali kazini NK!
So sio directly bima ya elimu,sema guarantee inawekwa kwenye elimu yako pale mlezi wako atakapopata matatizo!
Kama hatopata matatizo,then atakusomesha mwanzo mwisho!
Na hii ndio maana halisi ya Bima!

Mie ndio maana nikasema labda sijaielewa hii mada,hio education insurance policy sio kwamba inamaanisha watu kusoma bure ALL THE TIME na sio mpaka mzazi apatwe matatizo??,,,.,mie sijaona kosa la mtoa mada ,nimeona nchi nyingine hio education insurance cover ni private firms ndio zinadeal nazo na alichosuggest mtoa mada ni Governent kuchukua central role kama mifuko mingine ya Jamii which can not be dismissed only because nchi nyingine hazijawahi kufanya,,I really like his idea
 
Umejileta mwenyewe,unapokata Bima maana yake gari ikipata ajali utalipwa!Lisipopiga mzinga basi hela yako umetoa sadaka,na hii ndio maana halisi ya Bima!
Hapa katika magari 100,labda 1 tu ndio litapata ajali na kuharibika!Kwa maana hiyo,nyie 99 mtakuwa mmemchangia huyo mmoja na nyingine itabaki faida ya kampuni ya Bima!
Kwa mfano huo,huoni kuwa hoja yako haifeet kwenye Bima????
kama ukiisoma link itakuelezea kila kitu rafiki

kwa hapo uliposema kwenye bima ya magari, gari likpata ajali aliyepata ajali anachangiwa na wengine upo sahihi sikatai

mzazi akikata bima ya elimu ya mtoto wake labda asilimia 5% ya mshahara wake kila mwezi toka mtoto anazaliwa mpaka anafikia umri wa kuanza shule, hivi kweli hela haitatosha kulipia karo ya shule ya msingi , sekondari za serikali na ikiwezekana kutumika kama security for loan baadaye akiomba mkopo wa elimu yake ya juu?
 
Mie ndio maana nikasema labda sijaielewa hii mada,hio education insurance policy sio kwamba inamaanisha watu kusoma bure ALL THE TIME na sio mpaka mzazi apatwe matatizo??,,,.,mie sijaona kosa la mtoa mada ,nimeona nchi nyingine hio education insurance cover ni private firms ndio zinadeal nazo na alichosuggest mtoa mada ni Governent kuchukua central role kama mifuko mingine ya Jamii which can not be dismissed only because nchi nyingine hazijawahi kufanya,,I really like his idea
Kwenye kusoma bure all the time hapo ndio pagumu,hii inamaana kile utakachochangia ndio kile kitakatumika kumsomesha mwanao!Hii inamaana mzazi akifariki kabla mchango haujafika basi mtoto itabidi atafute pesa kujazia ili asome mpaka elimu ya juu!
Ndio,maana kama sivyo,pesa itatoka wapi kumsomesha wakati mzazi kachangia kidogo na kufariki?kwa mantiki hii,kuna uhalali kuita mfuko huo bima ya elimu?
 
Kwenye kusoma bure all the time hapo ndio pagumu,hii inamaana kile utakachochangia ndio kile kitakatumika kumsomesha mwanao!Hii inamaana mzazi akifariki kabla mchango haujafika basi mtoto itabidi atafute pesa kujazia ili asome mpaka elimu ya juu!
Ndio,maana kama sivyo,pesa itatoka wapi kumsomesha wakati mzazi kachangia kidogo na kufariki?kwa mantiki hii,kuna uhalali kuita mfuko huo bima ya elimu?

Mnhhhhhh na wale wazazi waliochangia na watoto wao wakafariki au kupata matatizo mengine na hivyo kutoendelea na shule nao warudishiwe pesa zao?? Mkuu hoja ya kitoto sana unless death rate yetu ni kubwa kuliko birthrate ndio argument yako ingesimama,I believe kila Mtanzania akichangia huu mfuko yes tutaweza kusomesha vijana wote
 
Hapo ni kuwa kama ulichangia mil 3 halafu ukafa,basi mtoto wako atasomeshwa mpaka mil 3 itakapoishia!Kama ulichangia mil 50 basi mtoto wako atasomeshwa na itakayobaki atapewa!
Kama unachotoa ndicho kitakachotumika,faida iko wapi hapo?
Hiyo sio Bima!
hili wazo lako ni zuri pia na ndio maana nikamalizia mada yangu kwa kuita watu wenye michango mbadala zaidi ya yangu watoe.

serikali inaweza kutoa bonus ya asilimia 5 ya kiasi chako chote ambacho umewekeza katika bima ya elimu ya mwanao na hili linawezekana kwa sababu pesa ambazo utaweka kwenye bima ya elimu serikali itachukulia kama uwekezaji ambao unahitaji faida. serikali itatumia pesa za kwenye bima kuwekeza kwenye miradi mingine ya faida zaidi kabla wa mnufaika wa mfuko wa bima hajaanza kutumia pesa zake, na faida itakayopatika serikali itatoa bonus kwa kila mwekezaji kama motisha na kiasi kinachobaki kitatumika kuwekeza kwenye elimu ya juu kwa kutoa mikopo ambayo pia itakuwa ni faida kwa serikali kwa serikali kwa sababu mkopo lazima uwe na riba na riba hiyo itafanya mambo mengine zaidi
 
Kwenye kusoma bure all the time hapo ndio pagumu,hii inamaana kile utakachochangia ndio kile kitakatumika kumsomesha mwanao!Hii inamaana mzazi akifariki kabla mchango haujafika basi mtoto itabidi atafute pesa kujazia ili asome mpaka elimu ya juu!
Ndio,maana kama sivyo,pesa itatoka wapi kumsomesha wakati mzazi kachangia kidogo na kufariki?kwa mantiki hii,kuna uhalali kuita mfuko huo bima ya elimu?
kama mzazi kachangia kidogo na kafariki , tunaweza cover gharama kwa sababu always deathrate ni ndogo sana kiasi cha serikali kushindwa kumsomesha watoto hawa wachache ambao wazazi wao walikuwa na nia nzuri ya kuwasomesha na mpaka kufungua bima ya elimu kwa ajili yao
 
kama ukiisoma link itakuelezea kila kitu rafiki

kwa hapo uliposema kwenye bima ya magari, gari likpata ajali aliyepata ajali anachangiwa na wengine upo sahihi sikatai

mzazi akikata bima ya elimu ya mtoto wake labda asilimia 5% ya mshahara wake kila mwezi toka mtoto anazaliwa mpaka anafikia umri wa kuanza shule, hivi kweli hela haitatosha kulipia karo ya shule ya msingi , sekondari za serikali na ikiwezekana kutumika kama security for loan baadaye akiomba mkopo wa elimu yake ya juu?
Sijakuelewa unaposema pesa itumike kama security for loan!Sijawahi ona hii,labda unaweza nifafanulia kidogo hapo!

Suala la pili,kama kila mzazi atamchangia mtoto wake na mtoto atapata elimu kulingana na mchango wa baba,vipi kama baba akikata uzi njiani?Tuseme mzazi amefariki akiwa amechangia mwaka mmoja tu,hizi gharama anabeba nani?

NB:Changamoto kubwa za gharama za masomo zipo elimu ya juu na si msingi mpaka sekondari!

Mimi nakumbuka nilisoma shule za serikali mwanzo mwisho!Gharama yangu kwa miaka 6 yaani form 1 mpaka 6 ilikuwa sh 420,000/-!Hiyo ndiyo karo mzee wangu alilipa kwa miaka 6,yaani 70,000 kama karo kwa mwaka tena boarding school!
Lakini nilipoingia chuo,ada pekee kwa mwaka ilikuwa 1.5M,bado accomodation ,examination fee,chakula,stationary,field vyote hivi kwa mwaka vilikuwa vinachukua kama mil 3!So kwa mwaka wa masomo mil 4.5 ilikuwa lazima iwepo!

Hapo utaona changamoto kubwa ilipo!
 
Mnhhhhhh na wale wazazi waliochangia na watoto wao wakafariki au kupata matatizo mengine na hivyo kutoendelea na shule nao warudishiwe pesa zao?? Mkuu hoja ya kitoto sana unless death rate yetu ni kubwa kuliko birthrate ndio argument yako ingesimama,I believe kila Mtanzania akichangia huu mfuko yes tutaweza kusomesha vijana wote
So uchangiaji huu uwe wa pamoja,sivyo?Yaani hakuna aliyetoa kingi wala kidogo!Kwa maana hiyo huu unakuwa mfuko wa pamoja,angalizo tu ni kuwa je itawezekana?Kila mzazi,mwenye watoto 6 na mwenye mtoto mmoja ataweza kumlipia mwanaye?

Nikupe mfano rahisi!
Kwa elimu ya juu,wastani wa gharama za mwanafunzi ni kati ya mil 3-mil 5 kulingana na faculty!Tuchukulie 4m kama mean,kwa miaka mitatu ni mil 12,na wale miaka 4 ni mil 16!Tusema una watoto 3,kila mmoja kwa maana hiyo kwa elimu ya juu uchangie mil 36!Wangapi wataweza?
 
Back
Top Bottom