Sera mbadala ya elimu: Serikali anzisheni bima ya elimu

Kila mwaka madudu yanayoibuliwa na C.A.G yangepatiwa ufumbuzi hii hoja mbovu na ya wizi isingeibuka.

Nakumbushia 1.5 Trilioni hazijulikani matumizi yake.

Rasimu ya katiba ya warioba ndio dawa ya kuwashughulikia mafisadi wa kodi zetu na rasilimali zetu kwa FAIDA ya wote.
jaribu kuangalia kwa mapama changamoto za elimu tanzania na jinsi watoto wanavyokosa ada ndogo kwa ajili ya shule na mzazi kishindwa kumpeleka shule kwa sababu ya mila mbovu ilhali ana uwezo?

mzazi anatakiwa kukatwa kwa lazima kwa ajili ya elimu ya mwanae na akikatwa atajua kweli nahitaji kupelekamtoto shule
 
Akikujibu unijulishe, sijui kala maharage
ya wapi huyu Mdwanzi
unapokuwa na tumbo la kuhara usijifanye kujamba utaharisha, angalia sasa umechafua suruali yako. mwenzako nimemuwwkea link na kakaa kimya , msijazane ujinga humu jf kwa kuona mnajua kila kitu kubali kujifunza zaid
 
Akikujibu unijulishe, sijui kala maharage
ya wapi huyu Mdwanzi
unapokuwa na tumbo la kuhara usijifanye kujamba utaharisha, angalia sasa umechafua suruali yako. mwenzako nimemuwwkea link na kakaa kimya , msijazane ujinga humu jf kwa kuona mnajua kila kitu kubali kujifunza zaid
 
Anafikiri bima ni kodi:rolleyes::oops::oops:
hapo na wewe unajifanya unajua kila kitu, stop your silly games , unadhani sijui tofauti ya kodi na bima. bora hata umetumia ID fake hapa JF maana mzazi wako angejua ni wewe angesikitikia sana ada yake
 
unapokuwa na tumbo la kuhara usijifanye kujamba utaharisha, angalia sasa umechafua suruali yako. mwenzako nimemuwwkea link na kakaa kimya , msijazane ujinga humu jf kwa kuona mnajua kila kitu kubali kujifunza zaid
Pale mjua kila kitu unapolazimisha kila kitu unachofikiri kiwe sawa kumbe umeingia porini halafu uko spidi na mbele kuna mto huku wewe ukitoka spidi mithili ya Faru jike kichwa chini
 
Pale mjua kila kitu unapolazimisha kila kitu unachofikiri kiwe sawa kumbe umeingia porini halafu uko spidi na mbele kuna mto huku wewe ukitoka spidi mithili ya Faru jike kichwa chini
tatizo lako unajifanya kujua sana , napoteza muda wangu kwa mpuuzi ambaye kasoma na kukariri na kujiona anajua kila kitu. elimu yako inakuwa mzigo kwako kama huwezi kujaribu kufanya jambo fulani na kutegemea usome kikiwa kimefanyika sehemu nyingine ili uone kinafanyikaje.

ndio maana nasema kuwa wazazi wako wangejuta sana ungekuwa unatumia ID yako halisi, wamepoteza muda kukupeleka shule ila hujaweza kujifunza kuja na mawazo mapya ila kutumia yaleyale waliyotumia wakoloni.

unaonekana ni mtumwa wa fikra mfu , lengo la elimu kwako limepoteza maana kabisa badala ya kuja na wazo la kuishauri serikali ifanye nini kuboresha changamoto za elimu kuanzia shule ya msingi mpaka chuo wewe umekalia ujinga kuamini mawazo ya kikoloni yatatatua changamoto ya elimu yetu.

nimekuwekea link usome education insurance ni nini na kinahusu nini , umekalia mawazo yako mfu ya kuamini unajua kila kitu.labda pengine hufahamu kiingereza ndio maana unakuwa mbishi kama shipa
 
Back
Top Bottom