Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Huyo mdada anafikiri kuanza mahusino ni swala rahis na watoto wake wawili!! utachemsha, rudi kwa mumeo muishi kama zamani.
Dada piga moyo konde urudiane na mumeo, hali ya street ni mbaya sana. Watakuja na mbwembwe nyingi za kukupenda na kukuhudumia; mind you they will never be him. Ila ukitaka upate experience na exposure kwenye stress, welcome to the world!
.....Assume kama sababu ya kuvunjika kwa ndoa ni adultery halafu unaenda kuanzisha mahusiano mapya hata kabla divorce process haijamalizika.
Sheria za kiserikali ni miezi 24. sheria za ki Islam ni miezi minne na siku kumi.
......assume kwenye kesi hii mkorofi na mwanaume, tena maudhi kero na visa vyake vimemkinaisha kabisa huyu mama, halafu huyo mume HATAKI kuitoa talaka...
Huyo mke akae tu? MwanajamiiOne, huyu dada asiendelee na maisha kwakuwa tu huyo baba hayupo tayari kumuacha? ....mnh, haijaniingia bado akilini.
......hapa Soulmate naungana na King'asti kukushangaa aisee....lol
......assume kwenye kesi hii mkorofi na mwanaume, tena maudhi kero na visa vyake vimemkinaisha kabisa huyu mama, halafu huyo mume HATAKI kuitoa talaka...
Huyo mke akae tu? MwanajamiiOne, huyu dada asiendelee na maisha kwakuwa tu huyo baba hayupo tayari kumuacha? ....mnh, haijaniingia bado akilini.
mleta mada tayari ana maamuzi yake...umeshaamua..we amua tu..watoto si unaweza kuwatunza!!!...endelea tu....amani si unayo moyoni!, uwezo si unao!?..si yupo uliyempenda na ndio maana unataka talaka haraka haraka....sasa kama unajiamini na unasema ndoa yako ni kama haipo na wewe unaishi kivyako na watoto..sasa unataka kujificha nini..si unajiamini we fanya tu hata mchana kweupe....fanya tu...mpaka wakati unavunja ndoa na unaenda kuishi kivyako hili ulikuwa unalijua...ndoa huwa haivunjwi na mtu yeyote wa nje zaidi ya wanandoa wenyewe....wewe umeshaamua fanya..viatu vyako vya plastic ulivyovaa usivivue ni vyako endelea navyo...
MwanajamiiOne hiyo inaweza kuwa ni sababu mojawapo ya kutaka kuvunja ndoa lakini sio kuwa ndo imevunjika. Kunahitajika divorce order ya mahakama ku-annul hiyo ndoa.
Km ni mkristu na umeshaolewa, hauruhusiwi kutengana na mmeo mpk kifo. Jitahidi myasuluhishe
Mbu, wakati mwingine waweza pima faida na hasara ya kuachana na mme.
Kuachana kunaweza na faida ya mama kutafuta furaha yake anayoikosa ndani ya ndoa hiyo.
Hasara inaweza kuwa kuwalea watoto kama 'single parent' au kujiweka kwenye risk ya kuolewa na mtu mwingine ambaye huna uhakika atawapenda vipi watoto wake.
Mie nadhani furaha ya mama si kigezo pekee cha kuangalia hasa mnapokuwa na watoto angekuwa hana watoto ningemshauri kukimbia mara moja.
Na hao watoto wana umri gani? Ujue malezi si pesa tu.
Mbu, wakati mwingine waweza pima faida na hasara ya kuachana na mme.
Kuachana kunaweza na faida ya mama kutafuta furaha yake anayoikosa ndani ya ndoa hiyo.
Hasara inaweza kuwa kuwalea watoto kama 'single parent' au kujiweka kwenye risk ya kuolewa na mtu mwingine ambaye huna uhakika atawapenda vipi watoto wake.
Mie nadhani furaha ya mama si kigezo pekee cha kuangalia hasa mnapokuwa na watoto angekuwa hana watoto ningemshauri kukimbia mara moja.
Na hao watoto wana umri gani? Ujue malezi si pesa tu.
Mbu, wakati mwingine waweza pima faida na hasara ya kuachana na mme.
Kuachana kunaweza na faida ya mama kutafuta furaha yake anayoikosa ndani ya ndoa hiyo.
Hasara inaweza kuwa kuwalea watoto kama 'single parent' au kujiweka kwenye risk ya kuolewa na mtu mwingine ambaye huna uhakika atawapenda vipi watoto wake.
Mie nadhani furaha ya mama si kigezo pekee cha kuangalia hasa mnapokuwa na watoto angekuwa hana watoto ningemshauri kukimbia mara moja.
Na hao watoto wana umri gani? Ujue malezi si pesa tu.
Kongosho heri umeghusia hilo. Linapokuja suala la divorce watoto huwa hawafikiriwi kabisa. Kwa mfano kwa mleta mada amesema "Tuna watoto 2 naishi nao na kuwatunza kwa kila kitu they are fine and I dont have problem with that." Yupo confident hapo kuwa "they are fine" na hana "problem with that". It may sound OK lakini ame-take into account the likely impact of the intended new relationship kwa hao watoto? Halafu anaposema "new relationship" ana maana gani?