Mbona Manula hakucheza any of the two games ambazo tulipoteza??Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kama kuna jinai inaonekana wazi unataka iachwe?
Nimesema mashabiki wa simba na wanawake waimba taarabu tofauti ni uvaaji wa dela tuHapa tunazungumzia waimba taarabu kama wewe maana maswali yako yamekaa kimipasho
Acha kudanganya watu kama ni kupotea team ilipoteza match 2 kawaidaModerator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Umeanza utoto wakoVyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.
Pale Simba I am not so sure what they are smoking....wamejiingiza kwenye kaa la Moto kwa tuhuma dhidi ya Senzo...Simba ni nani asifungwe! hawa viongozi wasiyojua mpira ndiyo wanaochafua taswira ya soka letu, Senzo mtu mkubwa sana Afrika, kachafuliwa na ligi yetu imechafuliwa kwa match fixing kutokana na viongozi wachache wa simba wasiokuwa na weledi wa football.
Kwenye mpira kuna JINAI.Kwenye mpira kuna jinai?.
Ebu wampeleke mahakamani tuone.
Hayo Mambo ya kuhujumu timu hayakuanza Leo Wala Jana.
Mambo ya Mpira sionya kupelekana polisi.
Naona moo Kama anaishiwa pumzi.
Moo acheze mpira aache drama.
Wamesema kuna chatting wameziona, wewe unaleta historia yako ya kwenye hizo timu, hiyo historia yako haijibu current question, wacha mamlaka zinazohusika ziamue.Mimi nimewahi kuwa karibu na hizi klabu za Simba na Yanga hususani kwenye mambo ya uongozi, kikubwa nilichokigundua ni kuwa, Viongozi wa hizo klabu wengi wapo pale kwa faida binafsi, sasa klabu ikiyumba kisoka wanatafuta sababu ya kumtwisha lawama mtu au wachezaji fulani ili kukwepa Zengwe lisiwaguse viongozi.
Kwa mfano hili la Simba sasa, viongozi walitumia pesa nyingi kufanya usajili (na sote tunajua usajili ndio mahali pa viongozi kuvuna pesa za klabu kirahisi, wanaojua huu mchezo wananielewa......), sasa kwa bahati mbaya mwenendo wa Simba kwenye ligi umeanza kwa kusuasua kuliko walivyowaaminisha mashabiki wao kabla ya msimu kuanza, hivyo kilichokuwa kinafuata ni viongozi kufukuzwa, na viongozi wanatafuta angle ya kuhamisha mjadala wa Zengwe la wao kutimuliwa.
Hii confidence ameipata wapi huyu!?
Pira Mpapaso halijawahi kumuacha mtu salama. Lazima vichwa viruke, hamna namnaSimba tunapaswa tubadilike..
Hizi drama hazisaidii timu.
Kama timu ni mbovu ni mbovu tu.
Tusitafute mchawi
Simba ni timu kama nyingine, inashinda, inatoa sare na kufungwa.Simba ni nani asifungwe! hawa viongozi wasiyojua mpira ndiyo wanaochafua taswira ya soka letu, Senzo mtu mkubwa sana Afrika, kachafuliwa na ligi yetu imechafuliwa kwa match fixing kutokana na viongozi wachache wa simba wasiokuwa na weledi wa football.