Senzo yupo chini ya ulinzi anahojiwa kuihujumu Simba Sc

Kwasasa viongozi wa Simba wanahangaika na kuwatuhumu wachezaji na baadhi ya wasimamizi wa timu Ila muda si mrefu watakuja kuumbuka na kukosa mtu wa kumrushia visingizio na itawapasa wao wenyewe kuwajibika au kuwajibishwa na wanachama.
bongo wanasingizia kuhujumiwa nk...tusubiri ligi ya mabingwa kama watapata wa kumsingizia, maana nnavyoiona ile Simba hata roundi hii ya kwanza haivuki yan
 
Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Pumba,kwani John Bocco alipokosa penalty mechi na Ruvu ni sababu ya Senzo?
 
Wamesema kuna chatting wameziona, wewe unaleta historia yako ya kwenye hizo timu, hiyo historia yako haijibu current question, wacha mamlaka zinazohusika ziamue.
Haya zimehusika enhee kimetokea nini?

'SENZO MTU MAKINI" Ametoka kituo cha polisi akiwa na tabasamu' hahahaaa mikia bana! viongozi wenu kutwa kufukuzana,kusema wachezai,kutukana waandishi.
 
Labda kwenye masuala mabaya ya hela.lakini sio hizo hujuma za Simba na yanga kuhusu usajili umpeleke mtu polisi
Kwenye mpira kuna JINAI.
Ndiyo maana kuna wanamichezo walishafungwa jela.
JINAI ya hivi karibuni inamuhusu aliyekuwa rais wa TFF Jamal Malinzi na baadhi ya watendaji wake.
Na pia waliokuwa viongozi Simba, Aveva na Kaburu.
Kwahiyo kwenye mchezo wa soka kuna jinai nyingi.
Tuwaache polisi wafanye kazi yao
 
Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Akili ya mbumbumbu.
 
masuala ya kupanga matokeo na rushwa ni kosa la jinai
tff ilipo weka hadi viporo 10 ilikuwa inapanga nini mbona hamkusema iyo jinai

morison kupewa zile dola na kucheza chini ya kiwango mlikuwa mnapanga nini

acheni ubabaishaji
 
tff ilipo weka hadi viporo 10 ilikuwa inapanga nini mbona hamkusema iyo jinai

morison kupewa zile dola na kucheza chini ya kiwango mlikuwa mnapanga nini

acheni ubabaishaji
Hawawezi kukuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom