kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Mo kapora timu hela hataki kutoa kaenda kumhonga Babra. Wazee wa timu wanataka Chaoamemuhujumu Babra?
Mo kapora timu hela hataki kutoa kaenda kumhonga Babra. Wazee wa timu wanataka Chaoamemuhujumu Babra?
Yaani huyu jamaa ananuka Rushwa mwili mzima
bongo wanasingizia kuhujumiwa nk...tusubiri ligi ya mabingwa kama watapata wa kumsingizia, maana nnavyoiona ile Simba hata roundi hii ya kwanza haivuki yanKwasasa viongozi wa Simba wanahangaika na kuwatuhumu wachezaji na baadhi ya wasimamizi wa timu Ila muda si mrefu watakuja kuumbuka na kukosa mtu wa kumrushia visingizio na itawapasa wao wenyewe kuwajibika au kuwajibishwa na wanachama.
Pumba,kwani John Bocco alipokosa penalty mechi na Ruvu ni sababu ya Senzo?Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sijui alikuwepo mida hiyo.Pumba,kwani John Bocco alipokosa penalty mechi na Ruvu ni sababu ya Senzo?
Haya zimehusika enhee kimetokea nini?Wamesema kuna chatting wameziona, wewe unaleta historia yako ya kwenye hizo timu, hiyo historia yako haijibu current question, wacha mamlaka zinazohusika ziamue.
Kwenye mpira kuna JINAI.
Ndiyo maana kuna wanamichezo walishafungwa jela.
JINAI ya hivi karibuni inamuhusu aliyekuwa rais wa TFF Jamal Malinzi na baadhi ya watendaji wake.
Na pia waliokuwa viongozi Simba, Aveva na Kaburu.
Kwahiyo kwenye mchezo wa soka kuna jinai nyingi.
Tuwaache polisi wafanye kazi yao
Pira Mpapaso halijawahi kumuacha mtu salama. Lazima vichwa viruke, hamna namna
Akili ya mbumbumbu.Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kumbe ulijua atatoka kituoni analia?!Haya zimehusika enhee kimetokea nini?
'SENZO MTU MAKINI" Ametoka kituo cha polisi akiwa na tabasamu' hahahaaa mikia bana! viongozi wenu kutwa kufukuzana,kusema wachezai,kutukana waandishi.
tff ilipo weka hadi viporo 10 ilikuwa inapanga nini mbona hamkusema iyo jinaimasuala ya kupanga matokeo na rushwa ni kosa la jinai
Hawawezi kukuelewa mkuutff ilipo weka hadi viporo 10 ilikuwa inapanga nini mbona hamkusema iyo jinai
morison kupewa zile dola na kucheza chini ya kiwango mlikuwa mnapanga nini
acheni ubabaishaji
Mbona wanacheza ndondo mpaka za laki 1.Yaani mchezaji wa kulipwa anauza mechi kwa laki 5.5?
Namba 17Kumbe ulijua atatoka kituoni analia?!
Wewe kandambili kweli.
Acha ushabiki malinzi,mwesigwa,aden rage wote walinyea debe jela kisa mpira,match fixing ni kosa kisheria ni rushwaKwenye mpira kuna jinai?.
Ebu wampeleke mahakamani tuone.
Hayo Mambo ya kuhujumu timu hayakuanza Leo Wala Jana.
Mambo ya Mpira sionya kupelekana polisi.
Naona moo Kama anaishiwa pumzi.
Moo acheze mpira aache drama.