Senzo yupo chini ya ulinzi anahojiwa kuihujumu Simba Sc

Nyie Simba ni timu ya ajabu sana na ni waswahili hata Madrid , Barcelona znachezea vichapo kam kawaida nyie ni kina nani msifungwe , mlianza na marefa sasa mmehamia kwa viongoz na wachezaji wenu yani ni vichekesho tu,, mkishinda kwenu ni piraa biriani ila mkifugwa mmehujumiwaa ahaa

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
 
Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mbona Manula hakucheza any of the two games ambazo tulipoteza??
 
Kwenye mpira kuna jinai?.
Ebu wampeleke mahakamani tuone.
Hayo Mambo ya kuhujumu timu hayakuanza Leo Wala Jana.
Mambo ya Mpira sionya kupelekana polisi.
Naona moo Kama anaishiwa pumzi.
Moo acheze mpira aache drama.
Kama kuna jinai inaonekana wazi unataka iachwe?
 
Ni ujinga KUENDELEA kuhangaishana na senzo.mtu ameshaondoka nini Tena mnataka?.
 
Kwasasa viongozi wa Simba wanahangaika na kuwatuhumu wachezaji na baadhi ya wasimamizi wa timu Ila muda si mrefu watakuja kuumbuka na kukosa mtu wa kumrushia visingizio na itawapasa wao wenyewe kuwajibika au kuwajibishwa na wanachama.
 
Hapa tunazungumzia waimba taarabu kama wewe maana maswali yako yamekaa kimipasho
Nimesema mashabiki wa simba na wanawake waimba taarabu tofauti ni uvaaji wa dela tu

Nimekuuliza Mzee Yusuph ni Mwanamke?

Au hujaona neno mwanamke.
 
Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Acha kudanganya watu kama ni kupotea team ilipoteza match 2 kawaida
 
Kama kuna mambo ya hujuma UONGOZI ukae chini kudhibiti hayo mambo yaishe na soka liendelee.

Simba tucheze mpira, kikubwa uongozi uwe imara... Wachezaji na benchi la ufundi waelewane basi.

Tuache migogoro ya kitoto SIMBA NI TIMU KUBWA.
 
Simba ni nani asifungwe! hawa viongozi wasiyojua mpira ndiyo wanaochafua taswira ya soka letu, Senzo mtu mkubwa sana Afrika, kachafuliwa na ligi yetu imechafuliwa kwa match fixing kutokana na viongozi wachache wa simba wasiokuwa na weledi wa football.
Pale Simba I am not so sure what they are smoking....wamejiingiza kwenye kaa la Moto kwa tuhuma dhidi ya Senzo...
 
Kwenye mpira kuna jinai?.
Ebu wampeleke mahakamani tuone.
Hayo Mambo ya kuhujumu timu hayakuanza Leo Wala Jana.
Mambo ya Mpira sionya kupelekana polisi.
Naona moo Kama anaishiwa pumzi.
Moo acheze mpira aache drama.
Kwenye mpira kuna JINAI.
Ndiyo maana kuna wanamichezo walishafungwa jela.
JINAI ya hivi karibuni inamuhusu aliyekuwa rais wa TFF Jamal Malinzi na baadhi ya watendaji wake.
Na pia waliokuwa viongozi Simba, Aveva na Kaburu.
Kwahiyo kwenye mchezo wa soka kuna jinai nyingi.
Tuwaache polisi wafanye kazi yao
 
Mimi nimewahi kuwa karibu na hizi klabu za Simba na Yanga hususani kwenye mambo ya uongozi, kikubwa nilichokigundua ni kuwa, Viongozi wa hizo klabu wengi wapo pale kwa faida binafsi, sasa klabu ikiyumba kisoka wanatafuta sababu ya kumtwisha lawama mtu au wachezaji fulani ili kukwepa Zengwe lisiwaguse viongozi.

Kwa mfano hili la Simba sasa, viongozi walitumia pesa nyingi kufanya usajili (na sote tunajua usajili ndio mahali pa viongozi kuvuna pesa za klabu kirahisi, wanaojua huu mchezo wananielewa......), sasa kwa bahati mbaya mwenendo wa Simba kwenye ligi umeanza kwa kusuasua kuliko walivyowaaminisha mashabiki wao kabla ya msimu kuanza, hivyo kilichokuwa kinafuata ni viongozi kufukuzwa, na viongozi wanatafuta angle ya kuhamisha mjadala wa Zengwe la wao kutimuliwa.
Wamesema kuna chatting wameziona, wewe unaleta historia yako ya kwenye hizo timu, hiyo historia yako haijibu current question, wacha mamlaka zinazohusika ziamue.
 
Nasikia Simba wanakamata kila mtu wanayekutana nae wanambambikizia KESI YA KUIHUJUMU SIMBA🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamaa kachukua timu hela hataki kutoa kaenda kumhonga Babra....sasa wazee wanataka chao; Wanaohumu Simba ni wazee wa simba wanataka chao
 
Simba ni nani asifungwe! hawa viongozi wasiyojua mpira ndiyo wanaochafua taswira ya soka letu, Senzo mtu mkubwa sana Afrika, kachafuliwa na ligi yetu imechafuliwa kwa match fixing kutokana na viongozi wachache wa simba wasiokuwa na weledi wa football.
Simba ni timu kama nyingine, inashinda, inatoa sare na kufungwa.
Lakini jee kama wamefumania vielelezo vya hujuma wakae kimya?
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom