Senzo yupo chini ya ulinzi anahojiwa kuihujumu Simba Sc

Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Watu wote hao ni m1.7 au au M 17
 
Sitaki kuamini habari za kijinga namna hii.
Yaani karibu timu nzima ya Simba inatajwa kuihujumu timu ya simba!!

Sasa mantiki ya kuihujumu iwe nini?
Yaani Simba ikifungwa na kupwaya kisoka wao watapata faida gani wakati wao wameajiriwa na kulipwa na Simba?
Hujuma ipo lakini sio hii uliyoieleza wachezaji urliwataja kila mmoja anapokea m7 mshahara sio rahisi kulanguliwa kwa m1.7
 
IMG_20201111_163305_951.JPG
 
Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nimesoma vibaya ama ndivyo ilivyoandikwa! "Mburungutu wa pesa, halafu ni M1.7"!!! Yaan milioni moja na laki saba!??? Tena umewataja wachezaji 3 hapo!! Seriously?
 
Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Yaani mchezaji wa kulipwa anauza mechi kwa laki 5.5?
 
Moderator waliufuta uzi wangu hapa na

Ukweli ni huu
hapa

kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay

hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.






Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Duh..bro you know nothing ...eti hongo Ili wahujumu timu..!? Kuna ushahidi wa miamala ya hizo hongo!?
 
Simba ni nani asifungwe! hawa viongozi wasiyojua mpira ndiyo wanaochafua taswira ya soka letu, Senzo mtu mkubwa sana Afrika, kachafuliwa na ligi yetu imechafuliwa kwa match fixing kutokana na viongozi wachache wa simba wasiokuwa na weledi wa football.
 
Simba ni nani asifungwe! hawa viongozi wasiyojua mpira ndiyo wanaochafua taswira ya soka letu, Senzo mtu mkubwa sana Afrika, kachafuliwa na ligi yetu imechafuliwa kwa match fixing kutokana na viongozi wachache wa simba wasiokuwa na weledi wa football.
wewe unaijua football?
 
Back
Top Bottom