netein
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 281
- 479
hii ni Kali, hujuma za mpira lini zikaenda polisi! sasa huko Afrika kaskazin mbona magereza yangejaa kwa hujuma za soka!Vyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.