Sensa ya watu na makazi: Maswali ambayo hayakupaswa kuwepo kwenye dodoso

Kizuri (perfection) ni gharama! Kuna gharama huwezi kukwepa.
Ndg mtaalam, kw kuwa umejibainisha kuwa ni mtaalam wa takwimu, waweza kutufafanulia hiyo perfection unayozngmzia kwamba gharama zake hazikwepeki inathamani gani ukilinganisha na uwezo wetu? Historia inapinganaje na style tulotumia mwaka huu? Maswali tuloulizwa yanawiana vipi na hiyo perfection? Je hapakuwa na mbadala sahihi na cheap ktk zoezi hilo? Tumeambiwa zoezi litatumia 600bi+, nawe waweza kutuainishia na kuzi justfy hizo averages, kwamba haziwezi kwepeka kwa nchi ya uchumi wa kati kama yetu? Kwamba zoezi limefanyika in good faith?Je zina justify kilichoonekana kutendeka? Je hapakuwa na alternatives ktk kukamilisha zoezi? Kitakwimu, kuna idadi kubwa ya waTz wanaamini kuwa halikutakiwa kutumia fedha zote hizo na baadhi ni wanaojitokeza ktk mitandao kama hivi. Je takwimu zako hazisemi lolote kuh idadi ya wanaoponda zoezi hilo na gharama zake? Kwamba yale maswali hayaelekei kujibu shida zetu. Ukijibu tumia lugha laini na nyepesi
 
Wewe
Hoja zako zimekosa mashiko inaonyesha unapinga vitu vilivyo juu ya uelewawa wako.
ndo hujui,,hoja yake huyu bwana ina mashiko sana.Kweli kabisa watu wengi hawatasema kweli,Mfano Unaulizwa una kuku wangapi.Akitoka tu hata dakika moja anakuja mgeni unamchinjia kuku,,baada ya siku nne kuku wote wamekufa kwa Ugonjwa,,je serikali itakuwa na hesabu sahihi ya hao kuku??
 
Ndg mtaalam, kw kuwa umejibainisha kuwa ni mtaalam wa takwimu, waweza kutufafanulia hiyo perfection unayozngmzia kwamba gharama zake hazikwepeki inathamani gani ukilinganisha na uwezo wetu? Historia inapinganaje na style tulotumia mwaka huu? Maswali tuloulizwa yanawiana vipi na hiyo perfection? Je hapakuwa na mbadala sahihi na cheap ktk zoezi hilo? Tumeambiwa zoezi litatumia 600bi+, nawe waweza kutuainishia na kuzi justfy hizo averages, kwamba haziwezi kwepeka kwa nchi ya uchumi wa kati kama yetu? Kwamba zoezi limefanyika in good faith?Je zina justify kilichoonekana kutendeka? Je hapakuwa na alternatives ktk kukamilisha zoezi? Kitakwimu, kuna idadi kubwa ya waTz wanaamini kuwa halikutakiwa kutumia fedha zote hizo na baadhi ni wanaojitokeza ktk mitandao kama hivi. Je takwimu zako hazisemi lolote kuh idadi ya wanaoponda zoezi hilo na gharama zake? Kwamba yale maswali hayaelekei kujibu shida zetu. Ukijibu tumia lugha laini na nyepesi
Naomba nikuaeleze kuwa katika nchi yeyote hapa chini ya jua. Kuna vitu viwili ambavyo hutumia fedha nyingi. Cha kwanza ni vita na cha pili ni Sensa.

Kiuhalisia, swali moja la Sensa linakadiriwa gharama yake kuwa ni billion kumi kwa nchi zetu.
 
Naomba nikuaeleze kuwa katika nchi yeyote hapa chini ya jua. Kuna vitu viwili ambavyo hutumia fedha nyingi. Cha kwanza ni vita na cha pili ni Sensa.

Kiuhalisia, swali moja la Sensa linakadiriwa gharama yake kuwa ni billion kumi kwa nchi zetu.
Source tafdhal? Ili tupate elimu? Na ziwe credible. Elimu haina mwisho, au?
 
Source tafdhal? Ili tupate elimu? Na ziwe credible. Elimu haina mwisho, au?
Sijaelewa, unataka source ya kitu gani maana nimeandika kuhusu masuala mengi kuhusuana na umuhimu wa sensa na ukusanyaji wa taarifa zake. Hakuna kitu Rais Samia atakumbukwa kama Rais aliyesimamia sawia sensa yake. Alichobakiza ni kusisitiza matumizi ya data za sensa katika kupanga mipango ya maendeleo.
 
Sijaelewa, unataka source ya kitu gani maana nimeandika kuhusu masuala mengi kuhusuana na umuhimu wa sensa na ukusanyaji wa taarifa zake. Hakuna kitu Rais Samia atakumbukwa kama Rais aliyesimamia sawia sensa yake. Alichobakiza ni kusisitiza matumizi ya data za sensa katika kupanga mipango ya maendeleo.
Si umesema swali moja la Sensa linakadiriwa kuwa na gharama ya sh 10bi/-? Umepata wp hizo takwimu (source)? Na yalkuwa maswali takriban 100 hivyo, kwa source yako hiyo gharama ya 600+bi/- na average ya 10bi/- kwa kila mTz ni ndgo sana! Na ktk majadliano yetu suala la Samia kukumbkwa halikuepo, kajaje huku. Hata hili pia halijafanyiwa sensa wala survey. Kwa taarifa yako kuna wengi watamkumbka kwa Tozo na wengne kw mengne pia. Fanya survey utapata majibu ili nawe uwe authority wa hiyo theory ya watakao mkumbka. Au na mm ni mmoja wao unaowafanyia survey-kwamba ntamkumbka kw hilo au la? Swali hilo halijawa rasmi bado...au?
 
Si umesema swali moja la Sensa linakadiriwa kuwa na gharama ya sh 10bi/-? Umepata wp hizo takwimu (source)? Na yalkuwa maswali takriban 100 hivyo, kwa source yako hiyo gharama ya 600+bi/- na average ya 10bi/- kwa kila mTz ni ndgo sana! Na ktk majadliano yetu suala la Samia kukumbkwa halikuepo, kajaje huku. Hata hili pia halijafanyiwa sensa wala survey. Kwa taarifa yako kuna wengi watamkumbka kwa Tozo na wengne kw mengne pia. Fanya survey utapata majibu ili nawe uwe authority wa hiyo theory ya watakao mkumbka. Au na mm ni mmoja wao unaowafanyia survey-kwamba ntamkumbka kw hilo au la? Swali hilo halijawa rasmi bado...au?
Kuhusu sensa hii na Samia! Wewe huwezi jua maana siyo mwanataaluma. Hilo liache kwa sasa! Kiuhalali sensa hii ilitegemewa kula trillion moja kwa hayo maswali 100 hasa invefanywa siku moja tu.
 
Nakubaliana na mleta mada kuna haja gani kuuliza kama mtu ana smart au laptop? au kutaka kujustify kuwa Watanzania wana maisha ya kati kwa sababu ya kumiliki laptop na simu.

Wanataka waongeze tozo kwenye bando.
 
Kama sjasahau kna wkt wenye kfanya tafiti walkatazwa ktoa takwimu nje ya TBS(ofisi ya takwimu) lkn ni kama vile hawa nao hawajakaa vzr kivifaa, kidigitali. Wanashindwaje kpata takwimu za vzazi na vfo toka mahospitalini! Mahospitali kw nn wasiweze kuweka hizo kmbkmbu! Pia kw wale wazee, inajulkana enzi zao klkua hakna hivo veti lkn kla mara ukivhitaji unalazmika kvlipia ofc ya DC, haviplekwi ofc za takwimu, wameshindwa kw miaka 60 kujaza makomputa ma ofcn kurahsisha kmbkmb. Hadi ss kuteua wakandarasi hadi vikao venye kula kodi zetu kw sana!
Haya yte ya kuuliza, baskeli, sjui pasi, sjui namba ya luku ni maswali yalotoka kwa N'winglu kw ajli ya tozo-kwamba ss tutegmee tozo kw ktumia pasi iwe ya mkaa au umeme. Kama ni kw maendleo ytu, kw nn pasiwepo maswali yenye kuhusu afya-yaani, wenye kshindwa kulipia matibabu! Wenye kshindwa klipia karo za shule! Wamefika ukomo wa kufkiri wanaona tozo ndo mbadala wa kutumia ubongo. Bado tuko dialog, haya mambo ya kidigitali sisi baado saaana
 
Kuhusu sensa hii na Samia! Wewe huwezi jua maana siyo mwanataaluma. Hilo liache kwa sasa! Kiuhalali sensa hii ilitegemewa kula trillion moja kwa hayo maswali 100 hasa invefanywa siku moja tu.
Au umeshindwa toa chanzo cha takwimu zako! Ss kinachotuhusu ni kodi zetu, znachezewa, wameshindwa panga mipango mwanana ya maendleo yetu halafu wanafanya maisha yetu kuwa magumu. Kwa heri
 
Back
Top Bottom