teheeee....
Bajabiri bana!
BAGAH,wacha niseme bhana,,,,,maana tuna mpango wa kuupanua msikiti wetu walau uwe na shule na zahanati,,,,,,sasa mchakato wa kuuvunja umeanza leo hiii jion na utaendelea usiku kucha,,,,,,hahahahahahaaa,,,,kesho tena unaendelea
aiseee!
naona tarehe za ukarabati zimegongana na tarehe za sensa!
hapo chacha...
hii inatokea tanzania tu!
Umeniwahi BAGAH nilitaka post kitu ka hii..
Leo ni J MOSI..
watu wana have FUN..
wamechoka na STRESS za wiki nzima...afu kesho anakuuu...
Niishie hapa.. Im barring NOW...
Serikali ilichemka... Wahesabuji waje na RED CROSS..
niliomba ukarani,
nikanyimwa...nadhani CV yangu haikua nzuri...LOL