A-town inatakiwa ujitahidi kuchangia mara
nyingi kwa kutuma post katika mijadala mbali
mbali, na hata pia kufungua Thread na kuendesha
huo mjadala... Ukiamua leo hii ukae hapa jamvini
kwa kujituma the whole day.... Leo hii waweza kua
senior member...
Atapita hapa member yeyote hasa Ndetichia akuambie
post ngapi sawa na status fulani mana zina idadi yake.
Jamani hivi ukitaka kuwa senior member unafanyaje?
ahsante mamyy umesomeka!!A-town inatakiwa ujitahidi kuchangia maranyingi kwa kutuma post katika mijadala mbalimbali, na hata pia kufungua Thread na kuendeshahuo mjadala... Ukiamua leo hii ukae hapa jamvinikwa kujituma the whole day.... Leo hii waweza kuasenior member...Atapita hapa member yeyote hasa Ndetichia akuambiepost ngapi sawa na status fulani mana zina idadi yake.
Je kuwa premium member inakuwaje?