SENGEREMA walimu wanaibiwa

swagazetu

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
4,251
1,467
ili mwalimu apate kitambulisho cha kazi anaambiwa alipie 10000 tena vinachapishwa kwenye stationary ya mtu binafsi iliyopo karibu na NNB bank.Takukuru angalieni hili.maeneo mengine mbona vinatolewa bure kwa kulipia 500 ya lamination ukiihitaji.mkurugenzi unajua hili analofanya afisa elimu wako hasa wa s/m?
 
Unataka Kitambulisho Toa Ten Hutaki Sepa Sasa We Unataka Yeye Ale Wapi? Wakati Wa2 Wa Kuliwa Mpooo..??
 
Ofisi ya utumish sengerema ndio adui no 1 wa walimu hawataki kushulikia mapunjo ya walim kuna mama mle ofsin ni janga0 hakai ofsn
 
shame on u kama unashdwa kwenda kutetea haki yako. kwn JF itawasaidaia? jumuika na wenzako then mdai haki yenu or Ni PM nkusaidie
 
shame on u kama unashdwa kwenda kutetea haki yako. kwn JF itawasaidaia? jumuika na wenzako then mdai haki yenu or Ni PM nkusaidie

hata hivyo kwa kutoa taarifa nimesaidia hasa ukizingatia mi si mwalimu wala si mkazi wa sengerema.
 
He he he kitambulisho cha kazi unalipia mwajiriwa. Mi navyojua kitambulisho ni mali ya mwajiri na ndio anapaswa kuigharamia mali yake.
 
Hebu wamwone mama Careen Yunus mkuu wa wilaya naamini atawasaidia kwani yeye alikua afisa elimu kabla hajawa promoted kuwa dc huko sengerema so anajua nini haki ya walimu. Mtu mmoja social na caring sana hatowaacha hivihivi


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom