Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,215
- 165,817
Ubavu wangu ulipikiwa supu mpendwa.....kwani wewe hautaki ubavu wako?
Ubavu wangu ulipikiwa supu mpendwa.....kwani wewe hautaki ubavu wako?
Kijana wangu hatakuja kwa sababu bado yupo kwenye sheria za familia. Kurudi nyumbani mwisho saa 01:30 usiku. Zaidi ya hapo hatuwezi kuelewana. Utawapata wale wasiokuwa na uangalizi.hahhhhahahaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
USIKOSE HUENDA NI KWA AJIRI YAKO.
Hapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tenahahahhaha.... xo ujipatie mbinu tena na ukimpata utafanyia yale ambayo ugetamani kufanya kawa aliyepikwa supu
Uandishi wa vitoto vya form twoHapana ubavu ni mmoja tu, mie sina changu tena
Afu Mpendwa kuandika xo uache, huu ni uandishi wa kihuni