Semina ya Single wote Mwanza

Semina ya Single wote Mwanza

lup

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
2,514
Reaction score
2,744
HII NI KWA WATU WOTE NA WA DINI ZOTE.

Ijumaa hii tarehe 26.08.2016. ndani ya Mwanza jioni mahsusi kwaajili ya vijana ambao hawajoa wala kuolewa katika kanisa la T.A.G Mwanza International Community Church (T.A.G-MICC) nyegezi kona na Mchungaji Zakayo Nzogere kuanzia SAA 12:00 jioni hadi SAA mbili usiku.

Karibu sana, mkaribishe na mwenzako kuanzia miaka 18 na kuendelea. BWANA ana neno kwaajili yako, kuja upokee.

SHUKIA HAPO KWA HEKIMA NA UTAONA KIBAO CHA MICC KINAELEKEZA.

USAFIRI WA KURUDI HADI MJINI UPO NA UTATOLEWA BURE. AMBIA NA MWINGINE

In Mwanza this Friday 26.08.2016, special singles evening at MICC nyegezi corner with pastor Zakayo Nzogere. From 6pm to 8pm, welcome and invite all of your single friends of 18 years and above. Lord has a word for you, come and receive it.

You can share in your social networks walls and pages...
 

Attachments

  • IMG-20160823-WA0001.jpg
    IMG-20160823-WA0001.jpg
    127.9 KB · Views: 32
haina shida tutakuja we uwe connected nasi tu...unaweza pata taarifa zetu kupiti fb. micc..event zote ziko hapo. au request kwa pastor Zakayo Nzogere
 
Itaisaidia kuwatakutanisha kwa ajili ya kubadilishana namba za simu.... Safi sana.
kwani wewe uko wapi? kama upo mwanza usiache kufika itakuwa poa sana kwani tutapata japo chakula pamoja
 
mambo ambayo mchugaji atayazungumzia ni ya kawaida sana hayafugamani na ndini au imani yoyote...
 
zaidi maswali na majibu yatakuwepo...we njoo na maswali yako
 
ADIMN...MBONA UMENIHARIBIA KICHWA CHA HABARI?????????
 
HII NI KWA WATU WOTE NA WA DINI ZOTE.
Ijumaa hii tarehe 26.08.2016. ndani ya Mwanza jioni mahsusi kwaajili ya vijana ambao hawajoa wala kuolewa katika kanisa la T.A.G Mwanza International Community Church (T.A.G-MICC) nyegezi kona na Mchungaji Zakayo Nzogere kuanzia SAA 12:00 jioni hadi SAA mbili usiku. Karibu sana, mkaribishe na mwenzako kuanzia miaka 18 na kuendelea. BWANA ana neno kwaajili yako, kuja upokee.
SHUKIA HAPO KWA HEKIMA NA UTAONA KIBAO CHA MICC KINAELEKEZA,
USAFIRI WA KURUDI HADI MJINI UPO NA UTATOLEWA BURE.
AMBIA NA MWINGINE

In Mwanza this Friday 26.08.2016, special singles evening at MICC nyegezi corner with pastor Zakayo Nzogere. From 6pm to 8pm, welcome and invite all of your single friends of 18 years and above. Lord has a word for you, come and receive it
You can share in your social networks walls and pages...
Huo muda msipokuwa makini na shetani naye anaweza kuja kuhudhuria.
 
  • Thanks
Reactions: lup
wameiombe vya kutosha
 
Back
Top Bottom