Mtu anaamka tu na kujiita nabii, anaanza kujitangaza eti nabiimatapeli wanazidi na mbinu zao zina improve kunasa wengi
kweli kabisa wizi mtupu hapo baada ya muda mfupi atamiliki range au hammer kutokana na sadaka za masikini waliojifilisi wenyewe.Mwingine anajiita nabii mkuu!!! Wizi mtupuuuuu!! Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!!
akikujibu nijulishe Mkuu maana hawa watu wanapenda kupokea sadaka za masikini lakini siyo kutoa.Chakula kipo???
hatumhukumu, ila huyu bwana mdogo sio nabii, wala sio mfufuaji. hatuwezi kuona umma unadanganywa kisha tukae kimya.Jamani amesema anafufua vitu sio watu
Msimhukumu kwa kiasi hicho km ni nabii wa uongo au wakweli mungu ndo anajua na atamhukumu mwenyewe..
Hakuna aliyekamilika km huja tapeli kwenye mambo yakiroho umetapeli kwenye mapenzi au kazi....
Kabla hatuja nyoosha kidole kimoja tukumbuke vingine vitatu vinatugeukia..
huyu jamaa ni mpiga dili. wajinga ndio waliwao.Sasa naelewa kwanini thread nyingine ulipiga picha ikang'aa ningeshangaa nisingekuta uzi wa hivi.
(Kila nafsi itaonja mauti) sasa wewe unabishana na muumba wako yeye afishe wewe ufufue kweli?
Please mwache dada yngmiss chagga njoo ukutane na nabii hapa
Please sister usiende hukoduh nakuja
Ndugu nabii tufufulie viwanda vilivyokufa vijana wapate ajira.
ha ha pouwaPlease sister usiende huko
Apocalyptic fake Prophets running for moneykapewa hadi prophetic mashine na North korea