Semina ya kufufua vitu vilivyokufa mjini Dodoma

Akijibu niite
Watumishi wa Mungu tu watu wenye kujali na waaminifu, naamini atakuja kujibu soon kabla ya ibada ya Jumapili.
Asipojibu baada ya ibada ya Jumapili nitakuja kumwaga wali wa mtu, maana atakuwa yeye mwenyewe ndo kavunja uaminifu.
 
Nilielewa vingine mada... atafufua yale yaliyopita kimya kimya yaani Richimond, Meremeta, Buzwagi, EPA, na mengineyo ambayo serikali hazikuchukua hatua hivyo unatoa semina kwa wabunge wapya ili kuiwajibisha serikali
 
Tesha! Tesha, hivi unabii unaujua vizuri wewe, unabiii huu huu aliokua nao Musa, Miriam, Daniel ,Mika na wengineo? Haya unayoyatangaza hata Mtume Paulo hakuwahi kufanya hivi nakuhubiri kwake kote,
 
Sasa Mbona hujibu maswali?

unatakakusema tangu upost thread hii hujaingia tena online?, Kama Ni nabii kweli ungeweza kuoteshwa maswali ya humu hata bila kuingia..!

Acheni upigaji, mtawala wajinga Tu dadeq..!!
 
Ninyi mnaojiita manabii katika kizazi hiki, acheni kuwadanganya watu!! Fundisheni kweli kulingana na neno la Mungu. Fundisheni watu kusoma neno la Mungu, Fundisheni watu kutii amri za Mungu, Fundisheni watu kuishi maisha matakatifu. Acheni kujikita katika kuhubiri miujiza tu, maana miujiza si injili bali ni matokeo ya injili. Elekezeni waumini wa mwamini Mungu katika neno lake na si kwakutegemea miujiza!!!
 
Leo Ijumaa mpaka Jumapili nitafanya semina kubwa ya kufufua vitu vilivyokufa Ijumaa na Jumamosi muda ni saa kumi jioni kamili na Jumapili ni saa nne asubuhi nikihitimisha na ibada kuu.
Wote mnakaribishwa.
[HASHTAG]#prophetic[/HASHTAG] machine.
[HASHTAG]#Prophet[/HASHTAG] Linus Tesha.

View attachment 499106
Nabiiiii?? Nyie ndio matapeli wakubwa mnaoendelea kuibia watu mchana kweupe. Mchaga wapi na wapi unabii, unakuja kufanya biashara ya kiroho sio. Tuliza hizo Pu. mbu. kafanye kazi nyingine hata kilimo. Kijana mdogo unajifunza utapeli, usipite kwenye anga zangu nakukata hayo masikio.
Nilielewa vingine mada... atafufua yale yaliyopita kimya kimya yaani Richimond, Meremeta, Buzwagi, EPA, na mengineyo ambayo serikali hazikuchukua hatua hivyo unatoa semina kwa wabunge wapya ili kuiwajibisha serikali
 
Back
Top Bottom