wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,530
- 5,060
Nakupenda dada yngha ha pouwa
Nakupenda dada yngha ha pouwa
Jf vitukoNilielewa vingine mada... atafufua yale yaliyopita kimya kimya yaani Richimond, Meremeta, Buzwagi, EPA, na mengineyo ambayo serikali hazikuchukua hatua hivyo unatoa semina kwa wabunge wapya ili kuiwajibisha serikali
Apo umeona mbali bora FARU JOHN arudiNatumaini FARU JOHN atafufuliwa
Tena ahakikishe kwenye mahubiri yake anaponda serikali vilivyo bila kusahau Matokeo ya bashite na michambo ya kumwagaKwa Sasa hivi dodoma ndipo panaponukia pesaaaaa..... Jenga na hekalu kabisa kabla maeneo YA town hayajapanda bei...
Mangi kafungua kanisaTesha? mchaga na unabii wapi na wapi
kapewa hadi prophetic mashine na North korea
Unafufua vitu vilivyokufa kivipi yaani? maana hata kama ulikua na pasi iliyokufa ukaitengeneza ikawa nzima unakua umeifufua ujue?
Nabiiiii?? Nyie ndio matapeli wakubwa mnaoendelea kuibia watu mchana kweupe. Mchaga wapi na wapi unabii, unakuja kufanya biashara ya kiroho sio. Tuliza hizo Pu. mbu. kafanye kazi nyingine hata kilimo. Kijana mdogo unajifunza utapeli, usipite kwenye anga zangu nakukata hayo masikio.