Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,180
- 34,219
Ni kweli kabisa.Kwa uelewa wangu wa dini manabii hufuatwa na watu, si manabii kujitangaza wakitafuta watu.
Acheni unabii wa mwendokasi
Kwanza nani alikupa huo unabii?
Hawa ni FEKI FEKI, WAONGO, WATAKA PESA TU.