Semina ubungo plaza

Sajo.Inc

Member
Aug 1, 2012
6
4
SEMINA UBUNGO PLAZA.. Watu wakaanza kujitambulisha, Wa1:Mimi naitwa John niko UDOM mwaka wa 2, nasoma LAW,, Wa 2: Mimi naitwa Stella niko UDSM mwaka wa 3 nasoma PUBLIC RELATION,,,Wa3: kwa kusuasua sana huku akijishtukia,, Mimi naitwa Paul niko TANESCO mwaka wa4 nasoma MITA...
 
ahahahahahhahahahhahahahhahahahhahhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Uwiii,ahhahahaaa mhihiihiiiii,hahahahahi!ehuuuuuuuu!ama kweli umenichekesha asubuhi hii!
 
Unajua jamaa alipoona kila mtu anasema mimi flan niko mwaka fulani na nasomea kitu fulani! Akajua ndio mtiririko huo aka formula!!
 
Back
Top Bottom