SEMINA UBUNGO PLAZA.. Watu wakaanza kujitambulisha, Wa1:Mimi naitwa John niko UDOM mwaka wa 2, nasoma LAW,, Wa 2: Mimi naitwa Stella niko UDSM mwaka wa 3 nasoma PUBLIC RELATION,,,Wa3: kwa kusuasua sana huku akijishtukia,, Mimi naitwa Paul niko TANESCO mwaka wa4 nasoma MITA...