bereng
Senior Member
- Feb 5, 2013
- 114
- 21
Wana jf,
napenda kuwakaribisha wote mnaopenda kujifunza ujasiriamali kushiriki mafunzo ya siku 3, ya biashara yatayofanyika kuanzia tarehe 13 hadi 15 decemba katika hotel ya victoria palace iliyoko kapripoint mjini mwanza. Mafunzo yatatolewa na mshauri wa biashara, mtunzi wa kitabu cha mbinu za biashara na ceo wa kampuni ya cpm business consultant bwana Charles M. Nazi.
Ratiba ya mafunzo itakuwa kama ifuatavyo;-
tar 13 decemba.
3:00-4:00 nini maana ya ujasiriamali
4:00-5:00 chai ya asubuhi
5:00-6:00 siri ya utajiri.
6:00-700 chakula cha mchana
7:00-8:00 jinsi ya kuanzisha biashara
8:00-9:00 jinsi ya kutafuta masoko
tar 14 desemba
3:00-4:00 jinsi ya kupambana na vikwazo
4;00-5:00 chai ya asubuhi
5:00-600 jinsi ya kutunza kumbukumbu
6:00-7:00 chakula cha mchana.
7:00-8:00 mifano hai
8:00-9:00 maswali na majibu.
Tar 15 decemba
3:00-4:00 jinsi ya kuandaa mchanganuo wa biashara.
4:00-5:00 chai ya asubuhi
5:00-6:00 kuandaa mchanganuo (group studies)
6:00-7:00 chakula cha mchana
7:00-8:00 kuwasilisha
8:00-9:00 maswali na majibu/hitimisho
Gharama za mafunzo ni tsh. 25,000/- elfu ishirini na tano tu. Kadi zinapatikana na ziko chache.
Kwa maelezo zaidi piga namba 0784 162979.
Ukurasa wa Charles ni www.mshauriwabiashara.weebly.com
napenda kuwakaribisha wote mnaopenda kujifunza ujasiriamali kushiriki mafunzo ya siku 3, ya biashara yatayofanyika kuanzia tarehe 13 hadi 15 decemba katika hotel ya victoria palace iliyoko kapripoint mjini mwanza. Mafunzo yatatolewa na mshauri wa biashara, mtunzi wa kitabu cha mbinu za biashara na ceo wa kampuni ya cpm business consultant bwana Charles M. Nazi.
Ratiba ya mafunzo itakuwa kama ifuatavyo;-
tar 13 decemba.
3:00-4:00 nini maana ya ujasiriamali
4:00-5:00 chai ya asubuhi
5:00-6:00 siri ya utajiri.
6:00-700 chakula cha mchana
7:00-8:00 jinsi ya kuanzisha biashara
8:00-9:00 jinsi ya kutafuta masoko
tar 14 desemba
3:00-4:00 jinsi ya kupambana na vikwazo
4;00-5:00 chai ya asubuhi
5:00-600 jinsi ya kutunza kumbukumbu
6:00-7:00 chakula cha mchana.
7:00-8:00 mifano hai
8:00-9:00 maswali na majibu.
Tar 15 decemba
3:00-4:00 jinsi ya kuandaa mchanganuo wa biashara.
4:00-5:00 chai ya asubuhi
5:00-6:00 kuandaa mchanganuo (group studies)
6:00-7:00 chakula cha mchana
7:00-8:00 kuwasilisha
8:00-9:00 maswali na majibu/hitimisho
Gharama za mafunzo ni tsh. 25,000/- elfu ishirini na tano tu. Kadi zinapatikana na ziko chache.
Kwa maelezo zaidi piga namba 0784 162979.
Ukurasa wa Charles ni www.mshauriwabiashara.weebly.com