P pera Senior Member Jul 19, 2011 148 16 Apr 26, 2012 #1 sema chochote kuhusu tanzania/watanzania: tanzania ni nchi ya amani watanzania ni wa2 wakarimu.............. ............
sema chochote kuhusu tanzania/watanzania: tanzania ni nchi ya amani watanzania ni wa2 wakarimu.............. ............
ZeMangi JF-Expert Member Oct 21, 2011 436 33 Apr 26, 2012 #2 Watanzania ni w2 wanaoogopa vita ndo maana wananyonywa...............
S SHERRIE Member Mar 22, 2012 76 19 Apr 26, 2012 #3 Tanzania ni shamba la bibi yao wawekezaji. Watanzania ni manamba.
ISSA SHARAFI JF-Expert Member Apr 25, 2012 407 75 Apr 27, 2012 #4 Tanzania ni nchi mackini japo ina rasilimali nyingi, Watanzania wengi hawatafakari.
M Mboerap Senior Member Apr 8, 2012 157 21 Apr 27, 2012 #8 Watanzania mabingwa wa kulalamika bia kuchukua hatua
holygrail JF-Expert Member Mar 24, 2012 1,303 592 Apr 28, 2012 #9 Mboerap said: Watanzania mabingwa wa kulalamika bia kuchukua hatua Click to expand... w unachukua hatua gan baada ya kulalamika?
Mboerap said: Watanzania mabingwa wa kulalamika bia kuchukua hatua Click to expand... w unachukua hatua gan baada ya kulalamika?
M Mahmoud Qaasim JF-Expert Member Nov 3, 2007 923 264 Apr 28, 2012 #10 yeye pia ni mtanzania kama mimi na wewe tunavyolalama sasa. malyshu said: w unachukua hatua gan baada ya kulalamika? Click to expand... Mboerap said: Watanzania mabingwa wa kulalamika bia kuchukua hatua Click to expand...
yeye pia ni mtanzania kama mimi na wewe tunavyolalama sasa. malyshu said: w unachukua hatua gan baada ya kulalamika? Click to expand... Mboerap said: Watanzania mabingwa wa kulalamika bia kuchukua hatua Click to expand...
M Mahmoud Qaasim JF-Expert Member Nov 3, 2007 923 264 Apr 28, 2012 #11 watanzania tunapenda udaku badala ya uhalisia Tanzania ni tajiri waTanzania ni Maskini
E emma pat New Member Apr 12, 2012 1 0 Apr 28, 2012 #12 tanzania ni nchi yenye viongozi wapuuzi wasioshughulukiwa wala kuchukuliwa hatua na wananchi wake kujisifia wana amani!!!...
tanzania ni nchi yenye viongozi wapuuzi wasioshughulukiwa wala kuchukuliwa hatua na wananchi wake kujisifia wana amani!!!...