hahahaaaa... shangazi watakuzeesha tu Mabinti Ndio wanakufaa wewedamu bado inachemka! Mashangazi washakula sana sana ujana saivi hawatamaniki na hekaheka zenu hawaziwezi!
Yani huyu ameshindikana kwakweli anaona hata akipiga kinywaji tunafaudu!! Hata majani basi au anga kama mama mchungaji huo ubahili sio wa nchi hii π€£π!