Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,960
- 136,787
Ndinga wapi mbungeAsanteeeeehhhhhhhh.... Nimefurahi kukuona leo mkuu!!Watu so ndinga zenyuuuu!
![]()
Kah unataka unipasue moyo, sijawahi kutuma picha leo naona akili ya gambe




Wewe unakuaga wapi kwani
Tumia ile nguvu yenu
Wapi niliongelea jela mbali na leo Wige acha hizo basi.Nina wiki sijagonga ulabu
Mara ya pili hii
Unaongelea jela
Duh
Haya
Jaman hii sio fea kabisa umefuta mapema mno mweeeh!!!Kale kautaratibu aweke ili apate marudio
Wanasema akiba haiozi ndio wakati wa kukomba stoo yakoLol kimeo kimekufaaaa kamera picha mbaya mnoo!!


Nilikua hapa hapa, yaan wewe ni kunifanyia hivi kweli rafikiWewe unakuaga wapi kwani



Acha tu rafiki![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Best umeanza lini kuongea kituruki

Kuna huyu alafu kuna mr.vocha aisee ni sec picha haipoAmeweka dakika 1kafutaitabidi arudie kwa ajili yako mrembo mzuri mzuri!! Iceberg9 mfanyie wepesi Kelsea
