Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande 🙌
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu