Mshindajiiii mwenye mamlaka yote,
Nguvu za mauti na dhambi,
Yesu alizishinda
Mle kaburini Yesu kazikwa,
Alifunikwa na giza kubwa,
Kwa siku ya tatu Bwana kafufuka,
Walinda kaburi waliogopa.
Walikiri kwamba,Yesu Yu hai
Walikiri kwamba, Yesu Yu hai
Shangilieni Yesu alifufuka.
Shangilia Yesu alifufuka
Yu karibu sana kurudi atufufie sote
View attachment 2190409