Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Tumia lugha ngumungumu; kichwa imezoea mambo makubwamakubwaHuyu Mwamba anakwama sana
Tumia lugha ngumungumu; kichwa imezoea mambo makubwamakubwaHuyu Mwamba anakwama sana
Aaah kwa kina junia wenuTuje kumnyosha Junia?
Itakuwa anataka amtendee ukatili dada wa watu.Tumia lugha ngumungumu; kichwa imezoea mambo makubwamakubwa

Aaah kwa kina junia wenu









Muache huko ProfItakuwa anataka amtendee ukatili dada wa watu.
Iweje ashangae PM jamani
Profesa Bwana![]()


Na mtoto wa moto pia. Nyie nyie 🔥🔥🔥🔥
Kazi atakayokuwa nayo dogo Junia sipati picha
Mama kichwa Cha moto,baba wa moto![]()
Maana jamaa kama amesomea vile ukatili.Muache Prof![]()
Mimi mwenyewe nimetoka kwenye motoNa mtoto wa moto pia. Nyie nyie![]()














Umetokea vizuri sana usijikatae bwanaLitoke wapi mwee
Ni simu tu iliinama kidogo ili nisitoe kichwa.






Camera imeinamaNyigu![]()
Jadakis, Nate Dogg.. kuna ngoma moja ya jiga kwenye chorus kama kuna kitoto nimeikumbuka sana alafu jina limenitoka dahMzuka sana![]()
Sio died in your arms tonight??Jadakis, Nate Dogg.. kuna ngoma moja ya jiga kwenye chorus kama kuna kitoto nimeikumbuka sana alafu jina limenitoka dah
View attachment 2190253
Hapana sio hii, yenyewe ya zamani sana.. ingawa hii pia naielewa sanaSio died in your arms tonight??
Karibu boss tupige vyombo
Jigga ana nyimbo zake hivi ni hatari sana, namuelewa.Hapana sio hii, yenyewe ya zamani sana.. ingawa hii pia naielewa sana
Badae nitaivuta hiyo wimbo.. Jay Z hatari sanaJigga ana nyimbo zake hivi ni hatari sana, namuelewa.
Asante Boss, na mimi nipo naendelea hapa taratibuKaribu boss tupige vyombo

Tuendelee kuupiga mwingiAsante Boss, na mimi nipo naendelea hapa taratibu![]()