Mimi pia mshamba tu 😂😂....so tunahold siri by two washambaz ila makoo yatapoozwa tu....nakaribia natafuta malapa hapa kuna moja nalishona mida hii nivumilie nakuja😂😂😂
Hivi Joti mbona hayuko nao sasahivi wajameni walitofautiana wapi kwani?? Yani hili kundi ni masanja na joti tu Wengine hamna hamna kitu kabisa.ila saivi Joti hayupo sijui kwanini!
View attachment 2173338Hivi Joti mbona hayuko nao sasahivi wajameni walitofautiana wapi kwani?? Yani hili kundi ni masanja na joti tu Wengine hamna hamna kitu kabisa.ila saivi Joti hayupo sijui kwanini!
Sina uhakika; ila nahisi Joti ana mikataba yake binafsi inayombana kuungana na wenzie kwa sasa.
Leo wamenikumbusha siku ya kwanza nakanyaga Nzega; nikahitaji kwenda mjini. Daah naambiwa twende ukapande "ganagana". Nashangaa kitu baiskeli kimefika, nikapanda huyoo
Sina uhakika; ila nahisi Joti ana mikataba yake binafsi inayombana kuungana na wenzie kwa sasa.
Leo wamenikumbusha siku ya kwanza nakanyaga Nzega; nikahitaji kwenda mjini. Daah naambiwa twende ukapande "ganagana". Nashangaa kitu baiskeli kimefika, nikapanda huyoo
Sina uhakika; ila nahisi Joti ana mikataba yake binafsi inayombana kuungana na wenzie kwa sasa.
Leo wamenikumbusha siku ya kwanza nakanyaga Nzega; nikahitaji kwenda mjini. Daah naambiwa twende ukapande "ganagana". Nashangaa kitu baiskeli kimefika, nikapanda huyoo