Selfika na JF: Snap it. Show it

Original Comedy!
Wakongwe Kazini
View attachment 2173338Hivi Joti mbona hayuko nao sasahivi wajameni walitofautiana wapi kwani?? Yani hili kundi ni masanja na joti tu Wengine hamna hamna kitu kabisa.ila saivi Joti hayupo sijui kwanini!
Sina uhakika; ila nahisi Joti ana mikataba yake binafsi inayombana kuungana na wenzie kwa sasa.

Leo wamenikumbusha siku ya kwanza nakanyaga Nzega; nikahitaji kwenda mjini. Daah naambiwa twende ukapande "ganagana". Nashangaa kitu baiskeli kimefika, nikapanda huyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani nimecheka sana!!! hawa wawili wana uniqueness zao fulani hivi zinanogesha sana!! Dah kumbe katika hili kundi walikua wananikosha sana na masanja!
 
Ulikaaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…