Waso na Na dini na wasiokua na imani na Mungu ila sisi tuliolelewa ktk dini tunaambiwa hvyo kwa mujibu wa imani yangu mwanaume ni kiongozi wa mwanamke na sinaga ujasiri wa kupingaga maandiko aseehh!!!
Na wapingaji up siwezi walaumu sana maana masuala ya ndoa au mahusiano ni very sensitive issues ,kama mwanaume ukiwa marioo ,dependent kwa mkeo!majukumu ya kifamilia kabeba mama kila kitu,mwishowe watu hukosa kujiamini ndo vurugu zinaaza hapo ,baba kambale,mama kambale na mtoto kambale.
Mwanaume akitambua nafasi yake maisha yanakua murua kabisaa!!!