Hazard CFC JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 16,633 Reaction score 38,733 Oct 30, 2019 #17,161 Hahaha nahakikisha mpka unashinda wine nione kama utamwaga au vip Sakayo said: Naona umebadili gia angani jamani Click to expand...
Hahaha nahakikisha mpka unashinda wine nione kama utamwaga au vip Sakayo said: Naona umebadili gia angani jamani Click to expand...
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,488 Reaction score 176,550 Oct 30, 2019 #17,162 DiasporaUSA said: View attachment 1248855 mimi ni huyo mwenye glasses Click to expand... Umeamua kunidanganya mchana kweupeee
DiasporaUSA said: View attachment 1248855 mimi ni huyo mwenye glasses Click to expand... Umeamua kunidanganya mchana kweupeee
The Wolf JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 9,445 Reaction score 20,822 Oct 30, 2019 #17,163 Nnaomba kufahamu hii picha ipo post namba ngapi
The Wolf JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 9,445 Reaction score 20,822 Oct 30, 2019 #17,164 Msubhate said: Lady in Red disfruta tu noche View attachment 1249057 Click to expand... Lady 🥰
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 30, 2019 #17,165 Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi Saint anne said: Mimi Tena Mbona watajichosha Na nisivyojua kujibu mashambulizi Click to expand...
Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi Saint anne said: Mimi Tena Mbona watajichosha Na nisivyojua kujibu mashambulizi Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 30, 2019 #17,166 mmhh Saint anne said: Mrembo wangu mbona uko kazuri Sana jamani Click to expand...
Mnazareth JF-Expert Member Joined Dec 4, 2017 Posts 3,474 Reaction score 7,407 Oct 30, 2019 #17,167 Tupo hapa tunasubiri Msubhate said: waenda wapi sasa, jioni nitaweka picha yangu na nita verify akaunti yangu Click to expand...
Tupo hapa tunasubiri Msubhate said: waenda wapi sasa, jioni nitaweka picha yangu na nita verify akaunti yangu Click to expand...
Mnazareth JF-Expert Member Joined Dec 4, 2017 Posts 3,474 Reaction score 7,407 Oct 30, 2019 #17,168 Mnazareth said: Dada hebu fanya kunipigia pasi hapo nami nina moyo etii Click to expand... Hebu Fanya kile unachoweza Dada Angu
Mnazareth said: Dada hebu fanya kunipigia pasi hapo nami nina moyo etii Click to expand... Hebu Fanya kile unachoweza Dada Angu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 30, 2019 #17,169 Umeona eenh?? Acha pombe kijana wangu!! Hazard CFC said: Tena hii ya huku ndio mbaya zaidi vijana wawili tu, wazee na madingi kibao, ukijiendekeza hununui hata bati ndani ya mwaka mzima wakati wao wapo makwao Click to expand...
Umeona eenh?? Acha pombe kijana wangu!! Hazard CFC said: Tena hii ya huku ndio mbaya zaidi vijana wawili tu, wazee na madingi kibao, ukijiendekeza hununui hata bati ndani ya mwaka mzima wakati wao wapo makwao Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 30, 2019 #17,170 Karma said: mmhh Click to expand... Kweli Tena Huniamini Mimi?
macson3 JF-Expert Member Joined Nov 10, 2017 Posts 1,134 Reaction score 1,231 Oct 30, 2019 #17,171 Msubhate said: Lady in Red disfruta tu noche View attachment 1249057 Click to expand... Umewakalisha wengi aisee,hongera mrembo.
Msubhate said: Lady in Red disfruta tu noche View attachment 1249057 Click to expand... Umewakalisha wengi aisee,hongera mrembo.
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 30, 2019 #17,172 Jecha naniliu?? Hazard CFC said: Itajulikana tu...labda jecha afanye yake Click to expand...
kiduku mpapaso JF-Expert Member Joined Oct 30, 2018 Posts 1,987 Reaction score 4,872 Oct 30, 2019 #17,173 Msubhate said: Lady in Red disfruta tu noche View attachment 1249057 Click to expand... Ngoja nitafute miwani ya mbao nione vizuri maana hivi hivi naona macho yananidanganya
Msubhate said: Lady in Red disfruta tu noche View attachment 1249057 Click to expand... Ngoja nitafute miwani ya mbao nione vizuri maana hivi hivi naona macho yananidanganya
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Oct 30, 2019 #17,174 Hazard CFC said: Hahaha nahakikisha mpka unashinda wine nione kama utamwaga au vip Click to expand... Hallelujah Nauza nanunua mirinda nyeusi tuuu jamani
Hazard CFC said: Hahaha nahakikisha mpka unashinda wine nione kama utamwaga au vip Click to expand... Hallelujah Nauza nanunua mirinda nyeusi tuuu jamani
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Oct 30, 2019 #17,175 Karma said: Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi Click to expand... Kwa nini unataka picha zetu eti
Karma said: Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi Click to expand... Kwa nini unataka picha zetu eti
Mnazareth JF-Expert Member Joined Dec 4, 2017 Posts 3,474 Reaction score 7,407 Oct 30, 2019 #17,176 Usiache kutuma hiyo Jioni pliz nimeghairi kuangalia hadi mechi ya Simba..... Msubhate said: thanks dad Click to expand...
Usiache kutuma hiyo Jioni pliz nimeghairi kuangalia hadi mechi ya Simba..... Msubhate said: thanks dad Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 30, 2019 #17,177 Hazard CFC said: Tena hii ya huku ndio mbaya zaidi vijana wawili tu, wazee na madingi kibao, ukijiendekeza hununui hata bati ndani ya mwaka mzima wakati wao wapo makwao Click to expand... Kwanini usiache Sasa!?
Hazard CFC said: Tena hii ya huku ndio mbaya zaidi vijana wawili tu, wazee na madingi kibao, ukijiendekeza hununui hata bati ndani ya mwaka mzima wakati wao wapo makwao Click to expand... Kwanini usiache Sasa!?
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 30, 2019 #17,178 mgongo wa ben poo?? Hapana dada kweli wewe huwa una kauli nzuri kwa hawa kaka zetu humu na huwa haupendi ujinga kabisa Sakayo said: Hata wewe unanipaka mafuta kwa mgongo wa ben poo?? Click to expand...
mgongo wa ben poo?? Hapana dada kweli wewe huwa una kauli nzuri kwa hawa kaka zetu humu na huwa haupendi ujinga kabisa Sakayo said: Hata wewe unanipaka mafuta kwa mgongo wa ben poo?? Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 30, 2019 #17,179 Loh unaenda kuua watoto?? Hazard CFC said: Naomba nitoke kwa huu uzi kwa mda..nitarudii Click to expand...
Loh unaenda kuua watoto?? Hazard CFC said: Naomba nitoke kwa huu uzi kwa mda..nitarudii Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 30, 2019 #17,180 Karma said: Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi Click to expand... Kwanza ni Nani huyo alisema hayo?
Karma said: Yaani acha tu ndugu yangu mimi kubembeleza kutumiwa picha za Sakayo na Atoto imekuwa nongwa Tatizo wanaume wengi wa humu wakiombwa picha na wanawake mabichwa yanawajaa halafu hawatumi Click to expand... Kwanza ni Nani huyo alisema hayo?