Selfika na JF: Snap it. Show it

Narudia..wewe ni nyokko shos! You are so ameizingggggg!!! Hiko kigauni nimekielewa sana kuliko vile vipusa walai..... umeonekana mtoto mbichi kabisa kama hujaguswa hata mkono 😜😜🤭
 
Narudia..wewe ni nyokko shos! You are so ameizingggggg!!! Hiko kigauni nimekielewa sana kuliko vile vipusa walai..... umeonekana mtoto mbichi kabisa kama hujaguswa hata mkono
wallah nakufa mie sio kwa sifa hizi, jaman jaman uwiiiiiiih, km wee umesema mie sipingi najua una maanisha, woiiiiiiiiih.
 
Asante sana dear
That dress perfectly suits you ...na hiyo ndo raha ya kuwa na mwili kama huo, hata uvae nini bado unapendeza tu
...
Kipenziiii acha kunijaza, wee huu mwli huoni hapo nipo km skeleton tyuuh,

Labda kigauni hicho mmekipenda, ila kwangu huu mwili daaaah
 
Wigelekelo coca ni noumaaaaa .... Mtoto rangi ya mtumeee kaenda hewani na kashepu fulani hivi akikubinulia Huo mzagamuo wake ssasssaaaa..... hapana chezea cocastic kabisa!!
 
Kipenziiii acha kunijaza, wee huu mwli huoni hapo nipo km skeleton tyuuh,

Labda kigauni hicho mmekipenda, ila kwangu huu mwili daaaah
Trust me ,You have a really great sense of fashion.
Hata hivyo unapendeza na mwili wako .. you're not that skinny bado una mwili mzuri .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…