Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ wasengerema wengi sana hasa huko highway hawachelewi kukuchomekea uingie kingi. alafu wakucheke na wakupe pole dawa yawa wabakie wanasoma plate nunber tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ sikaagi karibu nao ni mwendo wa 180-220
 

Tuko njia moja...
One two one two....

Kuna mmoja na mkonge wake alihangaika sana anipite na nikawa namuachia sababu huwa sifanyi ligi ila sasa unaweza jikuta mbele kuna msemi trela nafasi ya ku overtake ipo unamsubiria aanze maana yuko mbele yangu haendi nikichomoza tuu nae huyoo...

Alinifanyia hivyo kama mara tatu hiviii

Daaadeekiiii, nilipomuacha hakunikuta hadi nafika kwa Kijazi Intersection πŸ˜….
Labda kama aliishia Ruvu...
 
Jirani inabidi tupige road trip moja ya kibabe... niliunge tela tukaachane pale kama unaenda kipalapala mie narudi chini kidogo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huku tabora boy nanyanyuaaa paka igombe kuogelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…