Selfika na JF: Snap it. Show it

kanako changamsha lakini πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Halafu nataka niiache hii tabia sio nzuri....

Hako katusi kamenizoea mdomoni....

Huwa nakaachia sana nikiwa barabarani safari ndefu nimepata upenyo wa ku overtake nshapiga mahesabu yangu halafu in-between kamatokea kamsengerema kamoja, pedeli zake nguvu au pushing yake iko chini anajipenyeza mbele yangu......

Yaani huwa kana nitoka maana anakuwa kanisababisha nikanyage breki bila mahesabu na nirudi kushoto bila kufikia lengo.

Ila huwa nahangaika hadi namuacha nyuma kisha motooooo...😁😁.

Yaani sijui ntaweza kukaacha maana kamechangamkaaa zaidi ya sengerema...πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…