Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,835
Ni Boss Lady tu alikuwa kasimama kavaa suruali ya Gucci na mkanda wa Louis Vuitton tumbo na mabega viko wazi na uso unaonekana. Utafikiri Cleopatra yaani....Mkuu leo bahati uliyonayo si ya nchii hiii
Naomba japo unisimulie ulivyo mkuu
Akunyaga gwamyitu[emoji120][emoji120]Ooh kumbe hapo tu Anko; nitakuja basi
Akii ya Mungu una shingo nzuriii😍 how i wish kuwa nayo ya hivo ningeringa mimiClip inakujaaaa.... nimegeuka nyumaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtaona nimevaa hivo tisheti latigoo hahahaaaView attachment 2148170
Sisi ni ndugu, ndugu yangu. Tuombeni tu uzima Mungu Atulinde tuje angalau tuone hawa wanetu nao wakipiga hatua za kimaisha baada ya kutupokea kijiti ili nao waanzishe yao; na kuendeleze baadhi ya tuliyoasisi katika maisha yao. Sote tubarikiwe sana [emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]Na baraka zako zimechangia kwa kiasi kikubwa sana.
Mungu azidi kukuweka karibu yetu daima [emoji120]
Nimerudi ghafla! [emoji16][emoji16][emoji16]Clip inakujaaaa.... nimegeuka nyumaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtaona nimevaa hivo tisheti latigoo hahahaaaView attachment 2148170
Mkuu leo bahati uliyonayo si ya nchii hiiiNimeona Boss Lady. Baby face indeed! Rangi ya Mtume. cocastic yuko wapi anapitwa huku?
Afadhali hata nimeiwahi hii🔥Clip inakujaaaa.... nimegeuka nyumaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtaona nimevaa hivo tisheti latigoo hahahaaaView attachment 2148170
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimerudi ghafla! [emoji16][emoji16][emoji16]
Ahsante shemeji.Sisi ni ndugu, ndugu yangu. Tuombeni tu uzima Mungu Atulinde tuje angalau tuone hawa wanetu nao wakipiga hatua za kimaisha baada ya kutupokea kijiti ili nao waanzishe yao; na kuendeleze baadhi ya tuliyoasisi katika maisha yao. Sote tubarikiwe sana [emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]
Anko nikajua umeshaondoka[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo utadhani tupo malishoni tunafukuzana na mbuzi
Uwe unapitapita kwa Anko, kuna siku utanibahatisha[emoji1787][emoji57][emoji57]Sisi ni ndugu, ndugu yangu. Tuombeni tu uzima Mungu Atulinde tuje angalau tuone hawa wanetu nao wakipiga hatua za kimaisha baada ya kutupokea kijiti ili nao waanzishe yao; na kuendeleze baadhi ya tuliyoasisi katika maisha yao. Sote tubarikiwe sana [emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]
Leo wengi tu mateka wa hiari hapa. Tunapishana tu tukiaubiria clip [emoji16][emoji16][emoji16]
Poleni sanaLeo wengi tu mateka wa hiari hapa. Tunapishana tu tukiaubiria clip [emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbe na wewe anko bado upo😂😂😂
Nilitoka kidogo nikajua mmeshaondokaKumbe na wewe anko bado upo[emoji23][emoji23][emoji23]
Niliondoka ila shemeji yangu msukuma kanipigia simu kaniambia "mambo iko ukuu..." nimekuja mbioo...
😍😍 hatariiiiiiiiiiiClip hii hapa...badae ngoja nibust simu chaji kwanza hahahaha...
Ni Singeli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2148193
Hii kweli ni clip au ni picha ya clip?Clip hii hapa...badae ngoja nibust simu chaji kwanza hahahaha...
Ni Singeli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2148193
Hii trela isinipiteeeNgoja niwape trela kwanza [emoji1787][emoji1787]
Mbona nikitaka kutuma video inagoma wapendwa nielekezeni pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Hii trela isinipiteee