😃😃😃 weee hakuna kibunda cha freee wala ku download kibundaaaa.. kazi kazi.. Tuna miiko mitatu.. Uvumilivu ( ili kuwa katika mda sahihi na entry sahihi), Risk Management ( usipoteze capital, usipoteze, win:lose.. win ratio iwe kubwa zaidi, lot size calculation etc), usipoteze pesa.. na hii ndio sheria mama.. 😎😎😎😎... zingine ni mbinu kama mbinu zingine ambazo zinakuja na aina ambayo unataka.. But Forex ni hatari