Somo hili nilitokea kulipenda sana wakati ule nasoma lakini tangu niliposhindwa kuelewa Physical Geography kutokana na Usharo wa Mwalimu wangu, nikasema bora nikasome zangu PCM tu kuliko kwenda kutia aibu kusoma PGM alafu nije nikose hata principal pass kwenye Geography π
Ila ni somo zuri sana hasa Map reading, Photography, Regional and Focal studies, Statistics n.k ambapo ilikuwa marks nyingi lakini ni za uhakika πͺ