Selfika na JF: Snap it. Show it

Mamchungaji samahani..
Huo mstari wakwanza, aya ya pili na waumini tunaruhusiwa kuutumia au huo ni nyie tuu..??


Samahani lakini.
 
Asante Yesu Kristo, nakupenda kwasababu ulipenda kwanza na kwasababu ulimimina pendo lako moyoni mwangu..

Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, Nalimtafuta, nisimpate.

😭😭😭😭😭😭

Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakieleza kitanda changu; Nalilowesha godoro langu kwa machozi yangu.

Heaven Sent
 
Wigelekelo
anasbo
_KINGO_
mrangi
Deeboyfrexh
Satoh Hirosh

Kinywa cha malaya ni shimo refu; Anayechukiwa na BWANA atatumbukia ndani yake.

Kwa maana kahaba ni shimo refu; Na malaya ni rima jembamba.

πŸ₯ΆπŸ₯ΆπŸ₯ΆπŸ₯ΆπŸ˜²πŸ˜²πŸ˜²πŸ˜²πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
Mpendwa wangu ni wangu, na mimi ni wake; hulisha kundi lake penye nyinyoro.

Hata jua lipunge, na vivuli vikimbie, unigeukie, mpendwa wangu, nawe uwe kama paa, au ayala, Juu ya milima ya Betheri.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…