Nasoma sana biblia, iisipokuwa huwa siweki alama yoyote wala kuandika chochote, kwasababu huwa mda wowote huwa nagawa biblia zangu.. pale ambapo naona mahala kuna uhitaji.. hapo imelala from mwazno to ufunuo nakuwaga narudia rudia tu βΊοΈβΊοΈ
Nasoma sana biblia, iisipokuwa huwa siweki alama yoyote wala kuandika chochote, kwasababu huwa mda wowote huwa nagawa biblia zangu.. pale ambapo naona mahala kuna uhitaji.. hapo imelala from mwazno to ufunuo nakuwaga narudia rudia tu
Muambie huyo.. sinaga ule usomaji wa biblia wa kuchora chora kuweka alama, sijawai kufanya hivyo toka utotoni mwangu, biblia zangu utazikuta mpyaaa haina hata nukta ya kalamu.. wala wino.. ππ