Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,501 Kijana wa hovyo hovyo said: Karibuni aseee... cocastic mahondaw Chakorii Naona tumeshinda wote hapa, karibuni tupooze njaa tuendelee kutafuta ridhiki kwa pilatoView attachment 2068342 Click to expand... KHH hivi vyakula vya kishua sana..nitawaletea minyoo usumbufu. Hakuna ugali tembele Na dagaa hapo
Kijana wa hovyo hovyo said: Karibuni aseee... cocastic mahondaw Chakorii Naona tumeshinda wote hapa, karibuni tupooze njaa tuendelee kutafuta ridhiki kwa pilatoView attachment 2068342 Click to expand... KHH hivi vyakula vya kishua sana..nitawaletea minyoo usumbufu. Hakuna ugali tembele Na dagaa hapo
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,502 Kijana wa hovyo hovyo said: na ka kahawa pembeni View attachment 2068348 Click to expand... Cappuccino yes nitakunywa..
Kijana wa hovyo hovyo said: na ka kahawa pembeni View attachment 2068348 Click to expand... Cappuccino yes nitakunywa..
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,503 Chakorii said: KHH hivi vyakula vya kishua sana..nitawaletea minyoo usumbufu. Hakuna ugali tembele Na dagaa hapo Click to expand... πππ Ugali na dagaa kwa kazi gani umefanya toka asubuhi zaidi ya story tataaa ππ
Chakorii said: KHH hivi vyakula vya kishua sana..nitawaletea minyoo usumbufu. Hakuna ugali tembele Na dagaa hapo Click to expand... πππ Ugali na dagaa kwa kazi gani umefanya toka asubuhi zaidi ya story tataaa ππ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,504 Chakorii said: Cappuccino yes nitakunywa.. Click to expand... karibu sana, acha nile basi kwanza badae πππ
Chakorii said: Cappuccino yes nitakunywa.. Click to expand... karibu sana, acha nile basi kwanza badae πππ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,505 Kijana wa hovyo hovyo said: πππ Ugali na dagaa kwa kazi gani umefanya toka asubuhi zaidi ya story tataaa ππ Click to expand... Kwa kazi ya kumchosha mtoto wa mtu kwenye selfika
Kijana wa hovyo hovyo said: πππ Ugali na dagaa kwa kazi gani umefanya toka asubuhi zaidi ya story tataaa ππ Click to expand... Kwa kazi ya kumchosha mtoto wa mtu kwenye selfika
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,506 Kijana wa hovyo hovyo said: karibu sana, acha nile basi kwanza badae πππ Click to expand... Haya kula kwanza mtoto wa watu.pole Kwa uchovu
Kijana wa hovyo hovyo said: karibu sana, acha nile basi kwanza badae πππ Click to expand... Haya kula kwanza mtoto wa watu.pole Kwa uchovu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Jan 4, 2022 #132,507 Kijana wa hovyo hovyo said: Njia sio hiyo hiyo au utabadirisha Click to expand... Nitapitia ya juu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Jan 4, 2022 #132,508 Kijana wa hovyo hovyo said: kazi maalumu, mtu maalumu.. kitambulisho kina sign ya mtu maalumu Click to expand... Hahaa mie kula kulala tu
Kijana wa hovyo hovyo said: kazi maalumu, mtu maalumu.. kitambulisho kina sign ya mtu maalumu Click to expand... Hahaa mie kula kulala tu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Jan 4, 2022 #132,509 Heaven Sent said: Nishakuona, nakujaaaaa Click to expand... Karibu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Jan 4, 2022 #132,510 Deeboyfrexh said: Kumbe ndio maana basi sasa nimeelewa nini ni nini na kwanini?! Heko kwako Karma Click to expand... Umeelewa nini deeboy
Deeboyfrexh said: Kumbe ndio maana basi sasa nimeelewa nini ni nini na kwanini?! Heko kwako Karma Click to expand... Umeelewa nini deeboy
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,511 Chakorii said: Haya kula kwanza mtoto wa watu.pole Kwa uchovu Click to expand... πππ deal done sidhani kama natoboa 2022 watoto huku wana maksudi sana.. ili tu nishindwe
Chakorii said: Haya kula kwanza mtoto wa watu.pole Kwa uchovu Click to expand... πππ deal done sidhani kama natoboa 2022 watoto huku wana maksudi sana.. ili tu nishindwe
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,512 Karma said: Hahaa mie kula kulala tu Click to expand... kila mtu ni kulala kulala aseee ππ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,513 Kijana wa hovyo hovyo said: πππ deal done sidhani kama natoboa 2022 watoto huku wana maksudi sana.. ili tu nishindweView attachment 2068370 Click to expand... Kutoboa utatoboa lakini Kwa tabu Na utakuwa Na uchovu mwingi mno
Kijana wa hovyo hovyo said: πππ deal done sidhani kama natoboa 2022 watoto huku wana maksudi sana.. ili tu nishindweView attachment 2068370 Click to expand... Kutoboa utatoboa lakini Kwa tabu Na utakuwa Na uchovu mwingi mno
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,514 Chakorii said: Kutoboa utatoboa lakini Kwa tabu Na utakuwa Na uchovu mwingi mno Click to expand... labda niwe najifungia ndani, hapa nimekuja kula baraaa ambalo nimekutana nalo hadi najutaaa ππππ
Chakorii said: Kutoboa utatoboa lakini Kwa tabu Na utakuwa Na uchovu mwingi mno Click to expand... labda niwe najifungia ndani, hapa nimekuja kula baraaa ambalo nimekutana nalo hadi najutaaa ππππ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,515 Chakorii said: Haya kula kwanza mtoto wa watu.pole Kwa uchovu Click to expand... Na kweli nipo hoi, hapa nikirudi nalala kama lastborn ππππ
Chakorii said: Haya kula kwanza mtoto wa watu.pole Kwa uchovu Click to expand... Na kweli nipo hoi, hapa nikirudi nalala kama lastborn ππππ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,516 Kijana wa hovyo hovyo said: labda niwe najifungia ndani, hapa nimekuja kula baraaa ambalo nimekutana nalo hadi najutaaa ππππ Click to expand... Sema labda usiingie selfika..ukiingia tu..tunakutwisha uzito kichwani
Kijana wa hovyo hovyo said: labda niwe najifungia ndani, hapa nimekuja kula baraaa ambalo nimekutana nalo hadi najutaaa ππππ Click to expand... Sema labda usiingie selfika..ukiingia tu..tunakutwisha uzito kichwani
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,517 Kijana wa hovyo hovyo said: Na kweli nipo hoi, hapa nikirudi nalala kama lastborn ππππ Click to expand... Ulale tu kwakweli
Kijana wa hovyo hovyo said: Na kweli nipo hoi, hapa nikirudi nalala kama lastborn ππππ Click to expand... Ulale tu kwakweli
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,518 Chakorii said: Sema labda usiingie selfika..ukiingia tu..tunakutwisha uzito kichwani Click to expand... Nisije kula mtu wa mtu kimasihara nikaharibu ubikra wangu bureeee ππππ nitajitunza sana nisichafue mwaka wangu huu
Chakorii said: Sema labda usiingie selfika..ukiingia tu..tunakutwisha uzito kichwani Click to expand... Nisije kula mtu wa mtu kimasihara nikaharibu ubikra wangu bureeee ππππ nitajitunza sana nisichafue mwaka wangu huu
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,519 Chakorii said: Ulale tu kwakweli Click to expand... Nimeingia kupiga tangawizi na kashata ya uswazi kabla ya kwenda kulala.. hii inafanya misuli kuwa imara mda wote πππ
Chakorii said: Ulale tu kwakweli Click to expand... Nimeingia kupiga tangawizi na kashata ya uswazi kabla ya kwenda kulala.. hii inafanya misuli kuwa imara mda wote πππ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 4, 2022 #132,520 Kijana wa hovyo hovyo said: Nisije kula mtu wa mtu kimasihara nikaharibu ubikra wangu bureeee ππππ nitajitunza sana nisichafue mwaka wangu huu Click to expand... Mimi nakataa hakuna kimasihara kwenye kupiga game. Mpaka sasa umeshaanza kuuchafua
Kijana wa hovyo hovyo said: Nisije kula mtu wa mtu kimasihara nikaharibu ubikra wangu bureeee ππππ nitajitunza sana nisichafue mwaka wangu huu Click to expand... Mimi nakataa hakuna kimasihara kwenye kupiga game. Mpaka sasa umeshaanza kuuchafua