Kumbe ndiyo maana huwa hauongei chochote?? Basi mie nikajua unakaa kimya sababu huwa unayasapoti haya mafurushi!!
lakini pia hata kukaa kimya nako ni busara usiwe mbishi kama dada yako hapa
maana kubishana na mafurushi nako yataka moyo mkubwa kama wa nyangumi