Sio mazoezi ya mwili bali mazoezi ya kipaji chako, unaweza ukawa nacho kweli lakini kama haukufanyika mazoezi utakua mzito tu, sio hautafanya kwa perfect la ila uzito tu.
Wee hapa tupo tofauti mkuu kule kuna uhalisia hapa ufeki sana..humu kasoro miye tu ndio wakuja chokambaya mlobaki wote kila mtu tajiri wa mjiniiii ana pesa magari ! Humu watu tupo singo japo tumeolewa,, tuna watoto humu hatujazaa babuu,,,👌 hatuna wake/ Waume huku tunaishi nao hahaha si ya kucheka haya!!