Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo ndio umevurugika?
Bhasi ulikua mnoma sana.
Ni mwandiko tu ndio ulikua mzuri ama na marks nazo zilikua vyema?
Mwandiko unaendanaga na marks mkuu

Mwandiko mtupu bila marks,mwalimu anapata wapi courage ya kuusifia!?


Nikikiotea kipepa basi nahakikisha nimepanga kazi nimeucharanga hadi nimshangaze mwalimu huko.
Kuna masomo yangu ambayo nilikuwa nanyooka nayo nayo nahakikisha najibu vizuri kuzidi wote na mwandiko nao ukinibeba basi mambo ni mambo.
Ila mengine nilikuwa kilaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…