Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha danganyika upigwe kimasikharaa
...

Uko poa lakini sijapita kabisa hukuu leoo, nasubiri pichaa lako nasikia unatako hapa na riverside hahahaha
Weeeee niwenalo nitambe!!! Khakhakhaaa kupigwa kimasihara bado😜 bado sana πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ

Miye mzima wa afya kabisa sijui wewe huko rafiki!
 
Mimi mtoto hata kunifunguliwa piemu tu hatakii....naelekea kupoteza pambano hahaha
 
Jamani jamani USA Jamani dah!πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜œ
Bata letu na kamanda Satoh Hirosh zio la kitoto, ufanye ku opt tu .. USA , bata la dubai la washamba ila mjanja huwezi kuta anakimbilia dubai, mala nyingi wajanja tunaingia zetu visiwa vya carebean huko πŸ˜€πŸ˜€ au ...
 
Bata letu na kamanda Satoh Hirosh zio la kitoto, ufanye ku opt tu .. USA , bata la dubai la washamba ila mjanja huwezi kuta anakimbilia dubai, mala nyingi wajanja tunaingia zetu visiwa vya carebean huko πŸ˜€πŸ˜€ au ...
Unantamanishajeeee nasikia USA ndio marekani! eti!??!!?? Jamani iiii πŸ˜‹πŸ˜œ
 
Mkuu tumpe offer mahondaw, pale Manhatan.. twende tukale nae bata.. mie nakuwa na kipenzi changu Depal na wewe utakuwa na rafiki yako mahondaw πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kwenye huu msimu wa christmas
Wazo zuri sn..Tatizo sina mchuzi,hebu muulize huyo mahondaw yupo Tyr kukibeba kile kiapo cha madhabauni cha 'umpende kwenye shida na Raha?'

Kama jibu lake ni ndiyo basi nami nipo Tyr kupambana usiku na mchana ili siku moja nimpeleke siyo Tu Manhattan Bali hata pia visiwa vya Ibiza Spain Kula maraha
 
Shida na Raha mkuu wangu haipo siku hizi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, tuta fail hapo. Tutalala na njaaa acha mie niende na Depal wangu asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…