Padogo, hamana parking, wahudumu sio wazuri, mziki system sio nzuri ka eneo ka band sio kazuri, basi unajikuta huna pa kwenda ndio unajikuta umetokea tu hapo
Katika dodoma moja ya eneo naonaga la kiwaki sana ni hapo yaani hapajawai kabisa nivutia hata dk moja.. kuna wabunge wanaenda kununua pale itapendeza waje watueleza utamu wa kuku wa chako ni chako