Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna mmoja sijakumbuka Id yake alitembea na ile G yako
ananiuliza kama nimeshaachana na G Wangu
huyu G jamani

Ila ile skriiiiii ya mwisho ule mwandiko naujuaaaa.

Nikaandika napost naona 'the requested thread couldn't b found.
unajua kakomaa na depal


Ule mwandiko nilijua tu watu kama nyie akili kubwa lazima ujulikane
 
Kuna mmoja sijakumbuka Id yake alitembea na ile G yako
ananiuliza kama nimeshaachana na G Wangu
huyu G jamani

Ila ile skriiiiii ya mwisho ule mwandiko naujuaaaa.

Nikaandika napost naona 'the requested thread couldn't b found.
Si nilitaka kufuta screenshot zile
dadeq
 
Unajua nimecheka
,yule jamaa mshenzi,

Mdada wa watu itakuwa hajauona ule uzi,na kama kauona sijui kajisikiaje
πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka kwa masikitiko.

Dada atakuwa kaumia, sema yule bouya namjua.
Nilinyamaza kibingwa nisije geuziwa kibao πŸ˜‚
Jamii ikaniinjoy bila emoj 🀣🀣🀣🀣
 
Mnasemaga hivyo afu siku toto likitokea useme limevaa jeans bwagio na siyo zuri kama la kwenye pichaπŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 ndio maana naipendaga tu filter ya B&W ili siku ya siku mtoto wa mtu asipate sonono kubwa.

Kajisemea Sky tuache kuchat na nyie kwa muda πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…