Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,265
Jeeeeezy
Hiyo pic ni ya miaka minne nyuma.
Jeeeeezy
Mayoo 🤣🤣Nimezooom vimatako.
Believe me picha ni hivi karibuniJeeeeezy
Hiyo pic ni ya miaka minne nyuma.
Niwe vile niringe? Flat tummy? Sahii niko na kitambi ya fundi 😂Believe me picha ni hivi karibuni
Yesu kristo! Unatukana?Mayoo![]()

Jesus Christ! Mayooo ni tusi? Kuanzia lini? hebu kuja huku uchagani kidogo 😂Yesu kristo! Unatukana?![]()
Mimi nikutafutie jina la kijachoNiwe vile niringe? Flat tummy? Sahii niko na kitambi ya fundi![]()
Chaga ndio home yaan, ila pale umemtukana kiustaarabuJesus Christ! Mayooo ni tusi? Kuanzia lini? hebu kuja huku uchagani kidogo![]()
Penda dimpo!
🤣🤣🤣 Nilishawahi kuwa karibu na jamaa ana jina kama ID yako. Daah nimemmiss... Ana vituko ka vyakoMimi nikutafutie jina la kijacho
🤣Chaga ndio home yaan, ila pale umemtukana kiustaarabu
Sina vituko kwa kweli labda ni ile night now, lakin pia inaweza kuwa mimi ujue!Nilishawahi kuwa karibu na jamaa ana jina kama ID yako. Daah nimemmiss... Ana vituko ka vyako
Bahati mbaya hakuna ushahidi wa kukutia hatiani, umetumia tafsida tu baada ya kuondoa k na uUnang'ang'ania vitu visivyokuwepo wewe ni nini hiyo
Mayoo
Maweee
Tokea lini yakawa matusi?
![]()
Yawezekana pia.Sina vituko kwa kweli labda ni ile night now, lakin pia inaweza kuwa mimi ujue!
Unanitia hatiani bure jamani 😂Bahati mbaya hakuna ushahidi wa kukutia hatiani, umetumia tafsida tu baada ya kuondoa k na u
Hapana, sikua na maanisha haiwezi kwa mimi ndie huyo.Yawezekana pia.
We ni mweupe?
Shirika XY? Geneva of Africa?
Pole, ni joking tu usimaind.Unanitia hatiani bure jamani![]()
Nimeipenda hii designHome designs...View attachment 1931231