Selfika na JF: Snap it. Show it

Lakini wateule wote siku hiyo
Walioandikwa kitabu cha uzima
Watarukaruka nami nitaruka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado kitambo tu
Yapaswa kujitakasa
Siku hiyo ikifika uwe umetakasika
Mwokozi Yesu akija, tumlaki kwa furaha karibu sana Mwokozi njoo utuokoe
Bahari na milima vitamkimbia akija na utukufu wa babae je utasimama au utakimbia
 

Kazi ya kend ya uhakika..
Mwe ukendi ujhu,imbombo syake ndekaa
.

Pole sana.
Watoto ndivyo walivyo,wa kwetu alishawahi loweka simu kwenye uji tena wa Moto na Cha kumfanya hakipo.

Cha muhimu kuwa makini kutunza mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado kitambo tu
Yapaswa kujitakasa
Siku hiyo ikifika uwe umetakasika
Mwokozi Yesu akija, tumlaki kwa furaha karibu sana Mwokozi njoo utuokoe
Bahari na milima vitamkimbia akija na utukufu wa babae je utasimama au utakimbia
Kila jina siku hiyo litaitwa
Na matendo yako yote yataletwa
Utajibu nini?nitajibu Nini?
Mbele ya mahakama iliyo kuu
Mungu mwenyeji akiwa ndiye hakimu
Utajibu nini?nitajibu Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…