Pamoja na kuchelewa, happy birthday mama mchungaji.
Utukufu kwa Mungu ambae amefanya yake kwenye uumbaji wako,yaani alitumia udongo adimu sanaa.
Huyu kijana aliye/atakaye uteka moyo wako akawe mume mwema kwako nawe ukawe mke mwema kwake,kubwa zaidi Mungu akupe hitaji la moyo wako na kukukirimia baraka zake zaidi na zaidi.
All the best my dear.