Watu wabaya wanataka tuachane
Wananichafulia CV.
Mwasiti ft Chid Benz _Hao
Wananop nop wakisema mabaya
Wanatoptop mdomoni wanatema faya
Wanatuunguza hawafai
Usipende cheka nao usiwape hata hai
Usipende kula nap hata ikiwa chipsi yai
Nananana.....
Hivi nani alisema maneno yanaua
Na Nani ambaye alizaliwa anajua?
Wanasema ya watu ya kwao yanawashinda
Hao haooooo
Vibarazi Kuna maneno kutoa nimeshazoea
Vicheko kawaida kwani hayo yote maisha
Ninachokipata nakijua mwenyewe
Si pesa Wala si gari ni mapenzi Yale ya dhati