Dada acha kabisa asikuambie mtu rafiki yangu,mateso mi nshashindwa baasi nna kafriji kangi saafi kabisa!nikinenepa sasa wweee...ndo kakwanza mbele...[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]!!!!Kufunga tumbo nako mateso aisee[emoji119]
Hata ningekuwa mimi nadhani nisingefunga
Hapana.Unaniita?
HahahahaDada acha kabisa asikuambie mtu rafiki yangu,mateso mi nshashindwa baasi nna kafriji kangi saafi kabisa!nikinenepa sasa wweee...ndo kakwanza mbele...[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]!!!!
Haya Sasa punguza sauti ya kicheko uniambie kipi kikuchekeshacho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mdogo wangu, jitahidi tu pawepo pa kushika [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]hahahaha!!!kumbe ndo zenu!eti mwanamke manyama manyama pawepo hata pakushika looh!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulimuita nani?Hapana.
Jirani yangu.Ulimuita nani?
Weeee wachaaaaNdio mdogo wangu, jitahidi tu pawepo pa kushika [emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nnazo baasi tu gubu lenu wanaume!Ndio mdogo wangu, jitahidi tu pawepo pa kushika [emoji23][emoji23]
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]lohUsiku[emoji3531]View attachment 1752172
Sio ugonjwa na hakiumi halafu sijaligi walaa nini![emoji3][emoji41][emoji6][emoji4][emoji16][emoji23][emoji23]Hahahaha
Eti kafriji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ya kufungana matumbo ni mateso sana..kwani kitambi ni ugonjwa??
Watuache[emoji23]
Kabisa yaaniSio ugonjwa na hakiumi halafu sijaligi walaa nini![emoji3][emoji41][emoji6][emoji4][emoji16][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya Sasa punguza sauti ya kicheko uniambie kipi kikuchekeshacho
Nimekuletea futari yako, maana ilishandaliwa kwa ajili yako[emoji23][emoji23][emoji4]nakuja ustadh
Fanya mazoezi acha uvivu.Dada acha kabisa asikuambie mtu rafiki yangu,mateso mi nshashindwa baasi nna kafriji kangi saafi kabisa!nikinenepa sasa wweee...ndo kakwanza mbele...[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]!!!!
Ndiyo daku hilo, mbona unanichanganya!?Usiku[emoji3531]View attachment 1752172
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuletea futari yako, maana ilishandaliwa kwa ajili yako[emoji23][emoji23]View attachment 1752259