Nitayainua macho yangu nitazame milima,
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu U katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi.
Ninayo nguvu ya Mungu ambayo ni zaidi ya hiyo.
Nayaweza mambo yote katika Yeye anitiaye nguvu.
Yote yanawezekana katika jina la Yesu.