Selfika na JF: Snap it. Show it

Namwachia Mungu nakuambia๐Ÿ˜”
Nishaondoka huko siku nyingi niliona unazingua tu!
Kwa hiyo umeniweka kwa foleni kabisa๐Ÿ™Œ
Unamuachiaje Mungu kirahisi hivyo? Ina maana umeshindwa kupambana mwenyewe ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Ikungi bby, see you soon! Afu mimi na wewe ni waarabu wapemba eti? Kaa kwa utulivu my dia ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Kublock block watu ni udhaifu eti (kuna member alinambia hivyo ๐Ÿ™‡

Suuuu 'afu ndio utajua hujui...
Niliiona hiyo kwenye uzi flani hivi ulimrepoti jamaa 1alikuwa anatukana wanawake๐Ÿคฃ
Sasa rudi kule tupambane kwa hoja hapa tunaharibu uzi, nakuacha uendelee kutupia vilivyomo๐Ÿ˜ƒ

See you babeโค๏ธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ